Ni wakati Mwafaka sasa wa kufanya amendment kwenye sifa ya elimu kwa mgombea ubunge, badala ya kujua kusoma na kuandika, twende mbali zaidi

Ni wakati Mwafaka sasa wa kufanya amendment kwenye sifa ya elimu kwa mgombea ubunge, badala ya kujua kusoma na kuandika, twende mbali zaidi

Mtu kuwa Mbunge, unadhani awe na walau kiwango gani cha elimu?

  • Darasa la saba

    Votes: 0 0.0%
  • Kidato cha nne

    Votes: 0 0.0%
  • Kidato cha sita

    Votes: 1 12.5%
  • Diploma yoyote

    Votes: 0 0.0%
  • Shahada ya chuo kikuu

    Votes: 7 87.5%
  • Sijui

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    8
  • Poll closed .

astrologist

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
221
Reaction score
268
Sifa ya kujua kusoma na kuandika ilifaa miaka ya 1960, 1970, 1980 ,1990 .lakini kuanzia 2000 hadi sasa Tanzania ina wasomi wengi kuanzia elimu ya kidato cha nne hadi shahada ya kwanza na ya pili.

Hivyo ni bora sasa bunge letu kuwa na wabunge wenye elimu zaidi ya kusoma na kuandika ili kwenda sambamba na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Bunge ni mhimili muhimu.

Mbunge kuwa na elimu ya kidato cha 6 angalau ni bora sana!
 
Sifa ya kujua kusoma na kuandika ilifaa miaka ya 1960, 1970, 1980 ,1990 .lakini kuanzia 2000 hadi sasa Tanzania ina wasomi wengi kuanzia elimu ya kidato cha nne hadi shahada ya kwanza na ya pili.

Hivyo ni bora sasa bunge letu kuwa na wabunge wenye elimu zaidi ya kusoma na kuandika ili kwenda sambamba na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Bunge ni mhimili muhimu.

Mbunge kuwa na elimu ya kidato cha 6 angalau ni bora sana!
Kwa vile elimu bure ni mpaka kidato cha nne, manadiliko haya yaanze uchaguzi wa 2030 wakati elimu bure wa Magufuli watapiga kura kwa mara ya kwanza.

Ukianza sasa huu utakuwa ni ubaguzi.
P
 
Sifa ya kujua kusoma na kuandika ilifaa miaka ya 1960, 1970, 1980 ,1990 .lakini kuanzia 2000 hadi sasa Tanzania ina wasomi wengi kuanzia elimu ya kidato cha nne hadi shahada ya kwanza na ya pili.

Hivyo ni bora sasa bunge letu kuwa na wabunge wenye elimu zaidi ya kusoma na kuandika ili kwenda sambamba na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Bunge ni mhimili muhimu.

Mbunge kuwa na elimu ya kidato cha 6 angalau ni bora sana!
Hata kwenye miaka hiyo uliyoitaja mkuu kusoma na kuandika hakukutosha,ilikuwa ni vituko tu.Hivi akija muwekezaji Mbunge si lazima atafute mkalimani?Hii inafaa kweli?Hivi ni Mbunge gani asiyeweza hata kuandika ka-proposal akapeleka halimashauri au hata kwa muwekezaji!
Jamani elimu inamfanya mtu apanuke kimawazo,
kusoma na kuandika tuu,sisi tukoje?Eti tumeipitisha as a requirement ya kuwa Mbunge,duh!Aibu sana kwa kweli.Mimi nashauri requirement kwa Mbunge minimum iwe degree ya kwanza!Mbona Watanzania tuko very short sighted kiasi hicho? Nanaongeza,
kwa Madiwani na Wenyeviti wa Vijiji wawe na angalau elimu ya kidato cha nne Division IV minimum.Form IV wako wengi tu,kwa nini requirement iwe kusoma na kuandika,who are we protecting by the way.Ndio,tuwe serious jamani,mbona tunakuwa vichekesho?
 
Sifa ya kujua kusoma na kuandika ilifaa miaka ya 1960, 1970, 1980 ,1990 .lakini kuanzia 2000 hadi sasa Tanzania ina wasomi wengi kuanzia elimu ya kidato cha nne hadi shahada ya kwanza na ya pili.

Hivyo ni bora sasa bunge letu kuwa na wabunge wenye elimu zaidi ya kusoma na kuandika ili kwenda sambamba na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Bunge ni mhimili muhimu.

Mbunge kuwa na elimu ya kidato cha 6 angalau ni bora sana!

Naunga mkono hii hoja

Kwakuwa Bunge Ni chombo chenye jukumu la kutengeneza na kupendekeza Sheria mpya na mabadilio ya Sheria ilipaswa Wabunge wawe na elimu ya kutosha ya kujua Mambo na kuchanganua..

Sio wabunge wa Sasa wengi Ni wabunge ndio wapo kwaajiri ya posho...
 
Kwa vile elimu bure ni mpaka kidato cha nne, manadiliko haya yaanze uchaguzi wa 2030 wakati elimu bure wa Magufuli watapiga kura kwa mara ya kwanza.

Ukianza sasa huu utakuwa ni ubaguzi.
P

Nilitarajia ungechangia kwa faida na sio kwa ushabiki...
Kwa kifupi Tz Ina wahitimu wa vyu vikuu tokea enzi za JK Nyerere.. hivyo elimu kwa mbunge iwe ngazi ya shahada na kuendelea.... Hii italeta sura mpya bungeni na mawazo/hoja chanya kwa faida ya taifa..
 
Sifa ya kujua kusoma na kuandika ilifaa miaka ya 1960, 1970, 1980 ,1990 .lakini kuanzia 2000 hadi sasa Tanzania ina wasomi wengi kuanzia elimu ya kidato cha nne hadi shahada ya kwanza na ya pili.

Hivyo ni bora sasa bunge letu kuwa na wabunge wenye elimu zaidi ya kusoma na kuandika ili kwenda sambamba na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Bunge ni mhimili muhimu.

Mbunge kuwa na elimu ya kidato cha 6 angalau ni bora sana!
Tuliliweka hili kwenye katiba mpya ya Warioba (mbunge awe na angalau shahada moja na kuendelea), lakini WAPUMBAVU waliiondoa pale bungeni kwenye bunge la katiba.
 
Mimi niko tofauti kidogo na Wadau humu kwanza mimi napenda kuona Wabunge wenye influence kwa jamii ambao tayari ni self made kitendo cha kupeleka vijana wanaotoka sijui vyuo degree zao kwa kweli hapana mana exposure na Experience ni ndogo sana japo pia kuna wasomi tayari wana experience ila swala la kiungozi limekaa zaidi ki talent japo mtu akisoma pia anakuwa super sana ila tayari uwe umefanya kitu kwa jamii kinachonekana sio tukupe ubunge ndio uje uchume ukale na ndugu hao Tunao waita wasomi wengi ni watumishi wa umma mtu hata karanga au biashara yoyote hajawahi yeye ni per diem, Overtime na salary tu na magendo magendo hao hawatufai na tutatengeneza kichaka cha watu kupiga ofisi ya mbunge iwekwe wataaalamu tu ambao wata act kama advisors ila mtu top ni zaidi ya Elimu anapaswa awe na busara, exposure na Tayari awe stable economically
Wakuu kuna faida kubwa sana kuwa na kiongozi ambae tayari ni self made ipo kubwa sana tena akiwa na Shule ni poa zaidi
Na hao wasomi si tumeona madudu yao aisee watu hawajui ata kujieleza mtu apewa mda wa dakika 10 bungeni ajieleze anasimama ana sifia kwa dakika 9 then ya mwisho anasema Naunga mkono hoja ukifatilia ni DR kabisa what a shame.
 
Wazo lako ni zuri kwani limeegemea katika uhalisi wa dunia ya sasa. Elimu kubwa haikwepeki.

Tatizo tunao wasomi wengi wenye kushusha thamani ya elimu walizonazo halafu tunao darasa la saba wengi tu wenye utayari wa kuchapa kazi na ni wasikivu na wenye msaada kwa watu wanaowazunguka.
Kama vile musukuma na lusinde.
 
Nilitarajia ungechangia kwa faida na sio kwa ushabiki...
Kwa kifupi Tz Ina wahitimu wa vyu vikuu tokea enzi za JK Nyerere.. hivyo elimu kwa mbunge iwe ngazi ya shahada na kuendelea.... Hii italeta sura mpya bungeni na mawazo/hoja chanya kwa faida ya taifa..
Kumbe jf siku hizi tunapangiana aina za michango kwa watu kuarajiwa kuchangia michango ya faid tuu na sio ushabiki?, naomba jf iweke muongozo wa michango ya faida iweje na michango ya ushabiki ikoje ili tuiepuke.

Nijuavyo mimi, everybody in jf has the right of his or her own opinions, kwa opinion yangu kwavile elimu bure ni mpaka kipato cha nne, na wahitimu wa kwanza wa elimu bure watapiga 2030, then nimependekeza sifa hizo ndio zianzie hapo.

Kuweka sifa za elimu ya chou kikuu kwa sasa ni kuwabagua wengine.

Ila pia kwenye Bunge hili kuna madarasa la Saba wanatoa michango ya maana kuliko ma Ph.D holders mfano mzuri ni huyu

Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.

P
 
Mimi niko tofauti kidogo na Wadau humu kwanza mimi napenda kuona Wabunge wenye influence kwa jamii ambao tayari ni self made kitendo cha kupeleka vijana wanaotoka sijui vyuo degree zao kwa kweli hapana mana exposure na Experience ni ndogo sana japo pia kuna wasomi tayari wana experience ila swala la kiungozi limekaa zaidi ki talent japo mtu akisoma pia anakuwa super sana ila tayari uwe umefanya kitu kwa jamii kinachonekana sio tukupe ubunge ndio uje uchume ukale na ndugu hao Tunao waita wasomi wengi ni watumishi wa umma mtu hata karanga au biashara yoyote hajawahi yeye ni per diem, Overtime na salary tu na magendo magendo hao hawatufai na tutatengeneza kichaka cha watu kupiga ofisi ya mbunge iwekwe wataaalamu tu ambao wata act kama advisors ila mtu top ni zaidi ya Elimu anapaswa awe na busara, exposure na Tayari awe stable economically
Wakuu kuna faida kubwa sana kuwa na kiongozi ambae tayari ni self made ipo kubwa sana tena akiwa na Shule ni poa zaidi
Na hao wasomi si tumeona madudu yao aisee watu hawajui ata kujieleza mtu apewa mda wa dakika 10 bungeni ajieleze anasimama ana sifia kwa dakika 9 then ya mwisho anasema Naunga mkono hoja ukifatilia ni DR kabisa what a shame.
Kuna wabunge wako stable economically na hamna la maana walilofanya Wala hata kuchangia huko bungeni, pia hawatoi hela zao mifukoni ili kuleta maendeleo ni Kodi za wananchi, so hyo kuwa isolate vijana na wasomi hainaa mashiko Nyerere kawa Raisi akiwa kijana kabisa na tunaona impact yake kwa taifa letu, bungeni kunatakiwa damu changa nyingi sio waliosoma mitaala ya 60 na 70
 
Kuna wabunge wako stable economically na hamna la maana walilofanya Wala hata kuchangia huko bungeni, pia hawatoi hela zao mifukoni ili kuleta maendeleo ni Kodi za wananchi, so hyo kuwa isolate vijana na wasomi hainaa mashiko Nyerere kawa Raisi akiwa kijana kabisa na tunaona impact yake kwa taifa letu, bungeni kunatakiwa damu changa nyingi sio waliosoma mitaala ya 60 na 70
Mkuu vetting bado inahitajika tu kuliko generalization mana pia kuna vijana ni damu changa na ni hakuna kitu chochote wanawaza teuzi tu wamekuwa watu wa kusifu tu, vetting tu iwe implemented ili tupate wawakilishi wazuri
 
Mkuu vetting bado inahitajika tu kuliko generalization mana pia kuna vijana ni damu changa na ni hakuna kitu chochote wanawaza teuzi tu wamekuwa watu wa kusifu tu, vetting tu iwe implemented ili tupate wawakilishi wazuri
Hata wazee mbona ndo vinara wakusifu taifa lolote hujengwa na vijana wenye nguvu,na mawazo mapya na chanya
 
Back
Top Bottom