Ni wakati Sahihi Jemedari Saidi kuwa CEO wa SIMBA

Ni wakati Sahihi Jemedari Saidi kuwa CEO wa SIMBA

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,302
Reaction score
4,603
Kwa jinsi mwamba anavyopambana kwa maslahi ya Simba, ukomavu na uzoefu wake. Na kwa kuwa Sasa tuna CEO wa mpito tu Nadhani hivyo viatu vinamtosha Jemedari.

Indirectly amekuwa ndio mshauri mkuu na main agenda driver wa Simba.

Kongole kwake!
 
Kwa jinsi mwamba anavyopambana kwa maslahi ya Simba, ukomavu na uzoefu wake. Na kwa kuwa Sasa tuna CEO wa mpito tu Nadhani hivyo viatu vinamtosha Jemedari.

Indirectly amekuwa ndio mshauri mkuu na main agenda driver wa Simba.

Kongole kwake!
ha ha ha ni kwa vile humjui huyo jamaa
 
Back
Top Bottom