Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Kwa jinsi mwamba anavyopambana kwa maslahi ya Simba, ukomavu na uzoefu wake. Na kwa kuwa Sasa tuna CEO wa mpito tu Nadhani hivyo viatu vinamtosha Jemedari.
Indirectly amekuwa ndio mshauri mkuu na main agenda driver wa Simba.
Kongole kwake!
Indirectly amekuwa ndio mshauri mkuu na main agenda driver wa Simba.
Kongole kwake!