Ni wakati sahihi kwa Iran kuwaokoa Wapalestina ambao sasa shule, hospitali na misikiti sio salama tena kukimbilia

Ni wakati sahihi kwa Iran kuwaokoa Wapalestina ambao sasa shule, hospitali na misikiti sio salama tena kukimbilia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
1723278158954.png
 
Inashangaza jinsi hamas wanavyo pambana,mpaka mataifa yanajiuliza siraha hametoa wapi.(Wabedu)

Hamasi muda wowote kuanzia ijumaa hii wataipiga islaer kutokea Jordan ikisaidiwa na misri🤣🤣🤣( brazaj)

Idf wanaficha ukweli kuwa wanapigika na hawana Tena mbinu muda wowote kuanzia Sasa watanyoosha mikono juu🤣🤣🤣(Faiza fox AKA kifimbo cheza)

Ni muda sahihi Sasa kwa vikundi vyote vya wanamgambo kuingiza Gaza na kuitangazia ushindi dunia kuwa mashoga wanachapika(Kimsboy)

Huu ujinga hapo juu nukuu zenu ninyi wasemaji wa hamasi Tanzania huwa netanyau anapitaga humu Kisha anazifanyia kazi.
Hakuna haja yakumvimbia mwenye nguvu.rudisheni mateka jitengeni na magaidi ishini kwa amani,chuki na visasi huumiza nafsi.
 
Mh🤔

Walilianzisha acha walimalize wenyewe.
Si walidhani rahisi,wasianze kutia huruma.

Waliambiwa ila wakawa kichwa ngumu.
Hamjiulizi mpaka rais wa Iran anapigwa like lilikuwa onyo Kali,na ilitakiwa kuwaruhusu mateka wa Israel bila mashart yoyote na kuomba msamaha.

Walitaka inyeshe waone panapovuja,sasa wamepaona acha wapauwe paa
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifungu mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
Irani hii inayopigwa sebuleni kwake au tusubiri nyingine?
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifungu mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
Tanzania ndiyo wanazingua, waliombwa mbegu za mihogo kwa ajili ya kupanda pale Gaza lakini inaonekana tender imewazidi uwezo. Kama wangeweza ku supply mapema pale Gaza pangekuwa pameshalimwa pote na kupandwa mihogo, ila kwa sasa itabidi paendelee kuwa slums tu
 
Inashangaza jinsi hamas wanavyo pambana,mpaka mataifa yanajiuliza siraha hametoa wapi.(Wabedu)

Hamasi muda wowote kuanzia ijumaa hii wataipiga islaer kutokea Jordan ikisaidiwa na misri🤣🤣🤣( brazaj)

Idf wanaficha ukweli kuwa wanapigika na hawana Tena mbinu muda wowote kuanzia Sasa watanyoosha mikono juu🤣🤣🤣(Faiza fox AKA kifimbo cheza)

Ni muda sahihi Sasa kwa vikundi vyote vya wanamgambo kuingiza Gaza na kuitangazia ushindi dunia kuwa mashoga wanachapika(Kimsboy)

Huu ujinga hapo juu nukuu zenu ninyi wasemaji wa hamasi Tanzania huwa netanyau anapitaga humu Kisha anazifanyia kazi.
Hakuna haja yakumvimbia mwenye nguvu.rudisheni mateka jitengeni na magaidi ishini kwa amani,chuki na visasi huumiza nafsi.
Bila waislam wote kumkubali kipenzi chetu cha dhati Imam Hussein Ibn Ali A.S na mafundisho adhim ya kishia kamwe Palestine haitakuwa huru. NARUDIA KWA MSISITIZO KAMWE PALESTINE HAITAKUWA HURU.

Leo tunajivunia kupewa Tawfeek/Tawfiq (the ability and opportunity to succeed) kwasababu ya Imam wetu alikufa na kukana nafsi kwa kuupigania, kuutetea na kuulinda Uislam ndo maana tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.

Allah azidi kumpa kheri za duniani na Firdaus, amfanyie wepes na aendelee kumpa qauli thabeet za kutosha kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.
000000_557459496_kdpmpp2m15_PS7.5_PC_background._imam_ali._Digital_art._Concept_art_[upscaled].jpg


Adiosamigo Malaria 2
 
Tanzania ndiyo wanazingua, waliombwa mbegu za mihogo kwa ajili ya kupanda pale Gaza lakini inaonekana tender imewazidi uwezo. Kama wangeweza ku supply mapema pale Gaza pangekuwa pameshalimwa pote na kupandwa mihogo, ila kwa sasa itabidi paendelee kuwa slums tu
Hahaha
 
Iran mwenyewe kashafiwa na rais wake katikati ya mgogoro. Kiongozi mkuu wa hamas kauwawa kwenye mji mkuu wa Iran. Niseme kuituma iran kuiokoa palestina ni sawa na kumtuma ng'ombe amwokoe kondoo mikononi mwa simba.
Usirudie kuwafananinsha hao magaidi na kondoo

Kondoo ni viumbe wastaarabu sana
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
🤔🤔🤔🤣🤣🤣
NB;Mimi ni mbahai.
 
Back
Top Bottom