Ni wakati sahihi kwa Iran kuwaokoa Wapalestina ambao sasa shule, hospitali na misikiti sio salama tena kukimbilia

Ni wakati sahihi kwa Iran kuwaokoa Wapalestina ambao sasa shule, hospitali na misikiti sio salama tena kukimbilia

Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifungu mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
Kwani Hadi kumchokoza Yahudi walikuwa hawajui Tabia yake??
Watu Ambao walimuuwa hata ndugu Yao YESU watakuonea huruma ww??
Wanavuna walicho panda! Ili wengine wajifunze!
Iran UNAJUA Tabia za Yahudi! Ndio sababu hawakulipiza walipo uwawa wataalamu wao wa Nuke!
Na wakijaribu kulipiza jisasi Iran itarudi nyuma Hadi stone age.
MUNGU WAO Yahudi Amewaagiza Wafuasi wake!
👇👇
Torati.19:20-21
[19]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
 
Sidhani kama unaweza kukubali nyumba yako na familia yako iteketee kwa sababu ya kuingilia ugomvi wa jilani yako
Ukishindwa kufanya hivyo basi ubinadamu wako uko chini sana.Jirani katika uislamu amepewa haki mpaka masahaba wakahofia huenda akawa mrithi.
 
Inashangaza jinsi hamas wanavyo pambana,mpaka mataifa yanajiuliza siraha hametoa wapi.(Wabedu)

Hamasi muda wowote kuanzia ijumaa hii wataipiga islaer kutokea Jordan ikisaidiwa na misri🤣🤣🤣( brazaj)

Idf wanaficha ukweli kuwa wanapigika na hawana Tena mbinu muda wowote kuanzia Sasa watanyoosha mikono juu🤣🤣🤣(Faiza fox AKA kifimbo cheza)

Ni muda sahihi Sasa kwa vikundi vyote vya wanamgambo kuingiza Gaza na kuitangazia ushindi dunia kuwa mashoga wanachapika(Kimsboy)

Huu ujinga hapo juu nukuu zenu ninyi wasemaji wa hamasi Tanzania huwa netanyau anapitaga humu Kisha anazifanyia kazi.
Hakuna haja yakumvimbia mwenye nguvu.rudisheni mateka jitengeni na magaidi ishini kwa amani,chuki na visasi huumiza nafsi.
Ushauri wako ni ujinga mtupu kwa binadamu.Binadamu hupaswa kuogopa nguvu za Mungu pekee sio za binadamu mwenzake hasa anapokuwa dhalimu.
 
Netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe vumilia mdau hupendi kwenda akhera? Nyie si mmesoma ilimu akhera?
Kejeli zako zimesikika nasi binadamu na Mungu katutangulia kujua
 
Mh🤔

Walilianzisha acha walimalize wenyewe.
Si walidhani rahisi,wasianze kutia huruma.

Waliambiwa ila wakawa kichwa ngumu.
Hamjiulizi mpaka rais wa Iran anapigwa like lilikuwa onyo Kali,na ilitakiwa kuwaruhusu mateka wa Israel bila mashart yoyote na kuomba msamaha.

Walitaka inyeshe waone panapovuja,sasa wamepaona acha wapauwe paa
Maelezo kama hayo yanawafaa wapiganaji wa Seleka
 
Kipigo kina kuja tu wewe Iran toka lini alimuogopa America, safari hi ndio US anaenda kusafishwa vizuri akijidai kumgusa Iran
Mtume rehma na amani zimshukie kabla kupewa utume kulitokea mambo mengi kwa makuraishi kuwatayarisha na ujio wake.Hivyo hivyo kwa mitume waliomtangulia.
Haya maafa ya wapalestina na kuonekana wanyonge huku wengine wakila pilau na biriani nia matayarisho ya aina yake dunia kupokea kitu cha mshangao mkubwa.
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Iran angekuwa na uwezo huo angeshadanya hayo 1990s , na 1980s wakati iran iko kwenye vugugu. Wakati israel haikuwa strong kama sasa, but the wwmeshachelewa
 
Ushauri wako ni ujinga mtupu kwa binadamu.Binadamu hupaswa kuogopa nguvu za Mungu pekee sio za binadamu mwenzake hasa anapokuwa dhalimu.
Unashindana na mwenyenguvu kwakutegemea misaada ni ujinga
 
Ushauri wako ni ujinga mtupu kwa binadamu.Binadamu hupaswa kuogopa nguvu za Mungu pekee sio za binadamu mwenzake hasa anapokuwa dhalimu.
wee unachekesha Binadamu unamuona jMUNGU umemuona wapi??
 
Iran angekuwa na uwezo huo angeshadanya hayo 1990s , na 1980s wakati iran iko kwenye vugugu. Wakati israel haikuwa strong kama sasa, but the wwmeshachelewa
Hizo alili zako zakuazima US ni noma sana aisay, kwenye 1980 mpaa 1988 Iran alikuwa kwenye vita na anapigana na nchi za kiarabu karibu 12+ US na vibaraka vyake. 1990 unayo iongelea wewe Iran atoke vitani miaka miwili haijafika plus anafanyiwa vikwazo maisha yake. Uje umfananisha na huyo shoga anayepewa kila mwaka silaha za bure, na misaada ya pesa karibu mabillion kila mwaka, nadhani mwezi bado ni mchanga kwako kwa kula maboga.

We unaonyesha wale mlio lishwa maboga machanga asubuhi asubuhi akili mpaa zije kukuwa inataka miaka 30.


Israel Gaza tu mpaa leo hajashinda, chuma hicho live Gaza, afu anakuambia watamuwa si huyo anatembea Gaza


View: https://youtu.be/UtotWWjVuQc?si=Nr0oOYVUvkg-wmeL
 
Ukishindwa kufanya hivyo basi ubinadamu wako uko chini sana.Jirani katika uislamu amepewa haki mpaka masahaba wakahofia huenda akawa mrithi.
Sasa imekuwaje misri, Saudia,Qatar, UAE, Iran, Jordan,etc wameshindwa kuingia Kati...... Sio kila unachokisoma kwenye hadithi ukakishika km kilivyo changanya na zako uliwahi kuona wapi mtu anaacha kuokoa chake akaenda kuokoa cha jilani
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Wapalestina wenyewe haya mambo wanajitakia Netanyahuu kashasema mkitaka vita viishe hata leo hamas wawaachie mateka wa kiyahudi na waweke silaha chini
 
Inashangaza jinsi hamas wanavyo pambana,mpaka mataifa yanajiuliza siraha hametoa wapi.(Wabedu)

Hamasi muda wowote kuanzia ijumaa hii wataipiga islaer kutokea Jordan ikisaidiwa na misri🤣🤣🤣( brazaj)

Idf wanaficha ukweli kuwa wanapigika na hawana Tena mbinu muda wowote kuanzia Sasa watanyoosha mikono juu🤣🤣🤣(Faiza fox AKA kifimbo cheza)

Ni muda sahihi Sasa kwa vikundi vyote vya wanamgambo kuingiza Gaza na kuitangazia ushindi dunia kuwa mashoga wanachapika(Kimsboy)

Huu ujinga hapo juu nukuu zenu ninyi wasemaji wa hamasi Tanzania huwa netanyau anapitaga humu Kisha anazifanyia kazi.
Hakuna haja yakumvimbia mwenye nguvu.rudisheni mateka jitengeni na magaidi ishini kwa amani,chuki na visasi huumiza nafsi.
Aiseeee umeishia darasa la ngapi wewe
 
Hali ya Gaza inazidi kuwa mbaya na idadi ya vifo vinaongezeka kwani jeshi la Israel limekuwa huru kuua kama linavyopenda.

Wapiganaji wa Gaza wenyewe wametumia nguvu zao zote kujitetea mpaka wameishiwa nguvu.Hakuna cha kusifia kwa vikosi vya IDF kwani ni kama vile dunia nzima imeshirikiana na Israel kuwafunga mikono na miguu wapiganaji wa Gaza kuiachia Israel iwauwe.

Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni kuwa Netanyahu amewahadaa kikamilifu watu wa Gaza na kuwachokesha bure bila nafuu iliyotegemewa.Hatimae na Misri nayo ikaiwachia Israel ifunge mpaka wote na kudhibiti hata chakula kinachoingia Gaza.

Waziri wa Israel aitwaye Smotrich amesema sasa Israel ina uwezo wa kuwaua wapalestina wote waliobaki Gaza kwa njaa japo dunia anahofia huenda ikawazuia kufanya hivyo jambo ambalo pia hakuna nguvu ya kulizuia.

Nguvu na kasi ya Israel ya kupiga inapotaka na kuua kwenye maeneo yaliyotangazwa ni salama imekuwa kubwa sana.Hakuna tena kuchagua kambi ya wakimbizi au shule na hospitali. Inapiga tu kwa kutumia silaha nzito na kisingizio kinakuwa ni kumlenga kamanda wa Hamas.

Baada ya kuuliwa kwa Ismail Haniya Iran iliahidi kulipiza kisasi kwa kuipiga Israel. Hata hivyo raisi mpya wa Iran, Masoud amekuja na wazo la kutaka kuepusha vita hivyo yawezekana kwa woga au sababu nyengine za kiuchumi.

Tukirudi katika madhila yanayowakuta watu wa Gaza ambapo hakuna tena sehemu inayoitwa salama kuhamia na wameishiwa na nguvu. Ni wakati sahihi wa kupatikana nguvu kutoka nje itakayowaokoa kumalizwa kuuliwa na Israel.

Kwa vile maazimio ya UN na hukumu za mahakama hakuna hata moja iliyofanya kazi kuizuia Israel kuendelea kufanya unyama wake. Na kwa sababu hakuna taifa jengine lenye nguvu lililojitokeza kuleta nafuu.

Na kwa vile Iran pekee imejitokeza na ina sababu ya kuingia vitani na Israel, basi ni wakati munasibu kwa taifa hilo kumtegemea Mungu na kuingia kati kuwaokoa Wapalestina ili wasimalizwe kwa kuuliwa kwa silaha au kwa kunyimwa chakula.
View attachment 3065966
Iran hana chakufanya hapo.
 
Nyie waikristo mmadhani Iran ni Israel anategemea America. Iran atampiga Israel na US atabaki anatazama tu, akinua tu kichwa chake kumgusa Iran atabeba maiti 45,000 waliopo Gulf na hizo Carriers hairudi hata moja na F35. F22 na B2 zitakuwa hazina sifa tena duniani.
Hii ndio waingereza wanaita Reverie.
 
Back
Top Bottom