Ni wakati sahihi sasa wa kubadili nembo ya Taifa. Ina vitu haramu katika nchi yetu

Ni wakati sahihi sasa wa kubadili nembo ya Taifa. Ina vitu haramu katika nchi yetu

Kwenye nembo ya Taifa kuna pembe za ndovu (pembe za tembo). Kwa wakati huo inatengenezwa nahisi au nadhani biashara ya pembe za ndovu ilikuwa halali ila kwa zama hizi ni haramu ikiwa inamaana haifai tena kuendelea kukaa kwenye nembo ya taifa letu. View attachment 2688265
Niwakati sahihi wa kubadili chama cha ccm na kuweka upinzani ikulu achana na hizo mambo.
 
Kwenye nembo ya Taifa kuna pembe za ndovu (pembe za tembo). Kwa wakati huo inatengenezwa nahisi au nadhani biashara ya pembe za ndovu ilikuwa halali ila kwa zama hizi ni haramu ikiwa inamaana haifai tena kuendelea kukaa kwenye nembo ya taifa letu. View attachment 2688265
Pembe za ndovu inaonesha utajiri na fahari Kwa nchi. Kila kilichooneshwa hapo kina maana yake. Kuna mawimbi ya maji kuonesha bahari, mito na maziwa fahari Kwa nchi na utajiri wetu. Wengine hawana hivyo vitu. Nani kakuambia Haram, kenge mweusi.
 
Tumalize kwanza la bandari,nembo ipo tyuu
 
Niwakati sahihi wa kubadili chama cha ccm na kuweka upinzani ikulu achana na hizo mambo.
Amini Amin nawaambia bila kuifufua Tanganyika kwenye muungano huu, ccm kuiroa ni vigumu. Uchawi wake umijificha hapo. Nyerere anajua hilo ndo mana alitishia kuwa atakae anza kujigawa ataendelea kujimaliza. Hakuna lolote ni titisho. Kwanza Watanganyika tujitambue. Tuwe na serikali yetu. Serikali hii isimamie maslahi yetu. iwe ya ccm au chama kingine tukifika hapo ccm Ikishindwa tunabadili. Zanziba waangalie mambo yao. Tunaweza kujadiki muungana gani tunautaka, sii huu na ikishindikana kila mtu kivyake tusitishane.
NAKAZIA;- Katiba mpya tujadili, tukishindwa kuelewana serikali 1, Ziwe 3; nayo imeshindikana; sasa hapa Tanganyika kivyetu na Wazenji kifyao!
 
Tuondoe halafu tuweke nini,,
IMG_20230329_120558.jpg
 
Back
Top Bottom