Ni wakati sahihi sasa wa kurudishwa kwa mali kale yetu iliyopo Ujerumani

Ni wakati sahihi sasa wa kurudishwa kwa mali kale yetu iliyopo Ujerumani

713

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2018
Posts
354
Reaction score
776
Habari za majukumu na amini sasa hivi ni wakati sahihi wa kurudishwa kwa Mali kale yetu mifupa ya dinosaur ambaye alipatikana katika safu ya vilima Vya Tendenguru Lindi (1907-1913) ambayo kwa miaka hiyo ilipelekwa ujerumani kwa kuwa hatukuwa na sehemu ya kuhifadhi mifupa hiyo.

Sasa hivi kama tuna uwezo wa kujengwa viwanja Vya mpira tunashindwa nini kujengwa makumbusho ya kihistoria ya kuhifadhi Mali kale yetu mifupa ya dinosaur wa Tendenguru kupitia makumbusho hayo watalii watamiminika Tanzania kuja kujionea kuliko kwenda Ujeruman na kufanya vizazi vyeti vijifunze mengi juu ya utalii huo wa dinosaur wa Tendenguru.

Mamlaka husika ni wakati sahihi wa kurudishwa kwa Mali kale yetu. Tanzania na Kama mmeuza mseme
 

Attachments

  • Screenshot_20240402-085341.png
    Screenshot_20240402-085341.png
    1.9 MB · Views: 8
  • Screenshot_20240402-085353.png
    Screenshot_20240402-085353.png
    1.3 MB · Views: 8
Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa serikali ailulizwa kuhusu hayo mabaki yaliyopo ujerumani alijikanyaga Sana kwenye majibu yake , mwingine akasema washaanza mchakato wa kuyarudisha Tanzania lakini tangu nilipomsikia anaongea hayo maneno hadi leo imepita miaka zaidi ya mitano, ni kama tayali yamesha uzwa hawana namna ya kujibu kuhusiana na hilo
 
Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa serikali ailulizwa kuhusu hayo mabaki yaliyopo ujerumani alijikanyaga Sana kwenye majibu yake , mwingine akasema washaanza mchakato wa kuyarudisha Tanzania lakini tangu nilipomsikia anaongea hayo maneno hadi leo imepita miaka zaidi ya mitano, ni kama tayali yamesha uzwa hawana namna ya kujibu kuhusiana na hilo
Ni wakati wa kuwajibishwa Kwa viongozi wote waliohusika hivi inakuwaje tuna uza au kugawa Mali za taifa kama za watu binafsi Kila kukicha tunazidi kupoteza Mali na thamani yetu
 
Karibuni Lindi
 

Attachments

  • Screenshot_20240326-191518.png
    Screenshot_20240326-191518.png
    1.5 MB · Views: 9
Niliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa serikali ailulizwa kuhusu hayo mabaki yaliyopo ujerumani alijikanyaga Sana kwenye majibu yake , mwingine akasema washaanza mchakato wa kuyarudisha Tanzania lakini tangu nilipomsikia anaongea hayo maneno hadi leo imepita miaka zaidi ya mitano, ni kama tayali yamesha uzwa hawana namna ya kujibu kuhusiana na hilo
Nami nilimsikia pia kuwa wana mpango wa kurudisha hayo mabaki...ila changamoto ni namna ya kumbebq na kumhifadhi mpk anafika hapa bila kumuharibu..

Lkn pia walisema hayo mabaki yamekaq muda mrefu sana kiasi kwamba kuhamisha inaweza kuharibu
 
bora ibaki huko huko tu wabongo hatujui kutunza chochote kile.
 
Mwaka 2006 mchakato ukianza na ikasgindikana kwan kulikosekana vyombo vya kubeba kiunzi hiki
 
Back
Top Bottom