Ni wakati sasa kocha mzawa Mbwana Makata apewe timu ya Taifa

Ni wakati sasa kocha mzawa Mbwana Makata apewe timu ya Taifa

IL Capitano

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2014
Posts
216
Reaction score
123
Baada ya Timu yetu ya Taifa(Taifa Stars) kuwa na matokeo mabovu takriban mechi 5 kufungwa mfululuzo ni wakati sasa wa makocha wazawa kukabidhiwa timu.Mbwana Makata ndie mtu anaefit hiyo nafasi kwa hv sasa..sijaona mwingine ukizingatia ndie kocha bora kwa ligi yetu iliyoisha hv karibuni
 
Haya mambo ya mipira watz tulikurupuka na matokeo yake tukaua asili ya michezo yetu mfano ngoma,mbio, nk. sasa hivi hata aje arsenal wenger kufundisha timu ya taifa hatufiki popote
Wazo langu tuombe FIFA na CAF tujitoe kwa miaka kumi na mbili tusishiriki michuano yao yoyote kwa maana ya kuanza upya na masuala ya mpira
 
Hiyo nafasi anafaa Mwambusi wa MCC na Boniface Mkwasa. Kwenye benchi la ufundi wawepo Minziro, Mexime, Salvatory, Matola na Manyika
 
Hiyo nafasi anafaa Mwambusi wa MCC na Boniface Mkwasa. Kwenye benchi la ufundi wawepo Minziro, Mexime, Salvatory, Matola na Manyika

King Mputa ambaye ana mafanikio kuliko wote hao mbona humtaji?
 
Hiyo nafasi anafaa Mwambusi wa MCC na Boniface Mkwasa. Kwenye benchi la ufundi wawepo Minziro, Mexime, Salvatory, Matola na Manyika

Mkuu Pukudu..hao si ndio tumeisha wapa mara nying kwenye benchi la ufund na wameosha prove failure kutoa mwambusi?kocha bora apewe timu hata kipa bora hayupo kwenyw timu ya taifa huon kuwa nalo ni tatizo..golin anadaka dida wakat hata namba kwenye timu hana aliisha poteza kwa barthez
 
Mkuu Pukudu..hao si ndio tumeisha wapa mara nying kwenye benchi la ufund na wameosha prove failure kutoa mwambusi?kocha bora apewe timu hata kipa bora hayupo kwenyw timu ya taifa huon kuwa nalo ni tatizo..golin anadaka dida wakat hata namba kwenye timu hana aliisha poteza kwa barthez

Kibadeni nilimsahau ila TFF wamempa timu Mkwasa na Matola. Mwambusi anafaa sana sababu anajua kusimamia Nidhamu... Makata kapewa ukocha bora Kwa mechi saba tu
 
Umeshau mchawi wa timu lazima awepo..

Hiyo haitangazwagi ila lazima wawepo na Pia lazima kuwe na mchezaji mmoja wa kubeba mikoba uwanjani. Ila Kuna waganga wa soka wazuri kweli!! Mmoja yuko Galapo Babati na mwingine yuko Mhunze Kishapu, na kuwe na backup mganga wa mvua incase mipango ikikwama
 
Pole...hizo tatu bila natamani zingeondoka na tff

madaraka matamu tff hawawez kuondoka labda kwa kura tuu..jamaa wamekaa kupiga hela tu hawana chochote..malinzi anakusanya hela za kugombea ubunge 2020 tanga
 
Naunga mkono mzawa kupewa timu yetu mbona Keshi aliweza huko Nigeria? Mwaka 1980 tulipofuzu mara ya kwanza na pekee kocha alikuwa mzawa Joel Bendera. Hawa wazungu wauza matikiti wanatengeneza CV tu wala hawana mpango wa kutupa mafanikio. Sitaki kusikia tena mzungu mwengine
 
Back
Top Bottom