Ni wakati sasa kwa IGP kustaafu kulinda heshima yake, Pumzi imekata

Ni wakati sasa kwa IGP kustaafu kulinda heshima yake, Pumzi imekata

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Kwa matukio kadha wa kadha ya kesi za kubumba ambazo Mahakama imezituma, ambazo mama Samia amezikemea; Kwa ambacho kinaendelea sasa juu ya ushahidi wa makomandoo wa jeshi letu katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, kwa mabacho kilitolewa na jeshi la polisi kuhusu kutekwa kwa MO Dewji, Shambulizi dhidi ya Lissu na majibu ya Polisi, Majibu ya IGP katika sakata la Hamza.

Nimeorodhesha machache lakini katika hii Regime mpya ofisi pekee inayoonekana kuelemewa na majukumu ni ofisi ya IGP , sitaki kusema ofisi ya DPP sababu ni mpya na sitaki kuongelea ofisi ya DCI sababu ipo chini ya ya ofisi ya IGP.

Kesi ya Mdude wa Chadema na majibu ya mahakama, Kesi ya Kina Mbowe,Mashinji na wenzao jinsi walivyoshinda rufani, Ukimya juu ya kifo cha Akwilina, Tuhuma dhidi ya Lengai Ole Sabaya, n.k , n.k

Kuna malalamiko na dalili nyingi za watuhumiwa kuteswa chini ya jeshi la Polisi.

Hivyo kwa kuwa IGP anahitaji heshima ya hapo baadaye baada ya kustaafu, Nadhani huu ni wakati wake wa kutundika Daruga kwani dunia ya sasa inaonekana imemzidi kasi na teknolojia inaliumbua kweli jeshi letu. Kuna mambo yanafanywa kwa mihemko na kutupa wakati mgumu kuitetea serikali na nchi yetu. Huu msuguano wanaouanzisha dhidi ya maafisa wa jeshi hauna afya kabisa just wa sababu ya political interests.

Kama vijana wake wanasoma hapa, Kwa maslahi ya heshima ya vyombo vyetu vya Dola. He must step out now
 
Kwa matukio kadha wa kadha ya kesi za kubumba ambazo Mahakama imezituma, ambazo mama Samia amezikemea; Kwa ambacho kinaendelea sasa juu ya ushahidi wa makomandoo wa jeshi letu katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, kwa mabacho kilitolewa na jeshi la polisi kuhusu kutekwa kwa MO Dewji, Shambulizi dhidi ya Lissu na majibu ya Polisi, Majibu ya IGP katika sakata la Hamza.

Nimeorodhesha machache lakini katika hii Regime mpya ofisi pekee inayoonekana kuelemewa na majukumu ni ofisi ya IGP , sitaki kusema fisi ya DPP sababu ni mpya na sitaki kuongelea ofisi ya DCI sababu ipo chini ya DPP.

Kesi ya Mdude wa Chadema na majibu ya mahakama, Kesi ya Kina Mbowe,Mashinji na wenzao jinsi walivyoshinda rufani, Ukimya juu ya kifo cha Akwilina, Tuhuma dhidi ya Lengai Ole Sabaya, n.k , n.k

Kuna malalamiko na dalili nyingi za watuhumiwa kuteswa chini ya jeshi la Polisi.

Hivyo kwa kuwa IGP anahitaji heshima ya hapo baadaye baada ya kustaafu, Nadhani huu ni wakati wake wa kutundika Daruga kwani dunia ya sasa inaonekana imemzidi kasi na teknolojia inaliumbua kweli jeshi letu. Kuna mambo yanafanywa kwa mihemko na kutupa wakati mgumu kuitetea serikali na nchi yetu. Huu msuguano wanaouanzisha dhidi ya maafisa wa jeshi hauna afya kabisa just wa sababu ya political interests.

Kama vijana wake wanasoma hapa, Kwa maslahi ya heshima ya vyombo vyetu vya Dola. He must step out now
Hatakiwi kustaafu. Rais anatakiwa amfute kazi na akamatwe kujibu tuhuma xinazo mkabili.
 
IGP ni kama fimbo tu asilaumiwe. Alaumiwe mshika fimbo. Fimbo haiwezi kuchapa mtu bila mwenye fimbo kuamua ichape.

Nasema uwongo ndugu zangu?
 
IGP ni kama fimbo tu asilaumiwe. Alaumiwe mshika fimbo. Fimbo haiwezi kuchapa mtu bila mwenye fimbo kuamua ichape.

Nasema uwongo ndugu zangu?
Hapanaa......

walisikika watanzania
 
IGP ni kama fimbo tu asilaumiwe. Alaumiwe mshika fimbo. Fimbo haiwezi kuchapa mtu bila mwenye fimbo kuamua ichape.

Nasema uwongo ndugu zangu?
Hapanaaaaa!!!1

Walisikika waTz.


Lakini nimesema "Kulinda heshima yake"
 
Mnahangaika na watu waliopata Zero, mnapoteza muda tu, huyo hamna kitu mwacheni tu anakaribia kufika mwisho wake , laana ni kitu kibaya sana
 
Kwa matukio kadha wa kadha ya kesi za kubumba ambazo Mahakama imezituma, ambazo mama Samia amezikemea; Kwa ambacho kinaendelea sasa juu ya ushahidi wa makomandoo wa jeshi letu katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake, kwa mabacho kilitolewa na jeshi la polisi kuhusu kutekwa kwa MO Dewji, Shambulizi dhidi ya Lissu na majibu ya Polisi, Majibu ya IGP katika sakata la Hamza.

Nimeorodhesha machache lakini katika hii Regime mpya ofisi pekee inayoonekana kuelemewa na majukumu ni ofisi ya IGP , sitaki kusema fisi ya DPP sababu ni mpya na sitaki kuongelea ofisi ya DCI sababu ipo chini ya DPP.

Kesi ya Mdude wa Chadema na majibu ya mahakama, Kesi ya Kina Mbowe,Mashinji na wenzao jinsi walivyoshinda rufani, Ukimya juu ya kifo cha Akwilina, Tuhuma dhidi ya Lengai Ole Sabaya, n.k , n.k

Kuna malalamiko na dalili nyingi za watuhumiwa kuteswa chini ya jeshi la Polisi.

Hivyo kwa kuwa IGP anahitaji heshima ya hapo baadaye baada ya kustaafu, Nadhani huu ni wakati wake wa kutundika Daruga kwani dunia ya sasa inaonekana imemzidi kasi na teknolojia inaliumbua kweli jeshi letu. Kuna mambo yanafanywa kwa mihemko na kutupa wakati mgumu kuitetea serikali na nchi yetu. Huu msuguano wanaouanzisha dhidi ya maafisa wa jeshi hauna afya kabisa just wa sababu ya political interests.

Kama vijana wake wanasoma hapa, Kwa maslahi ya heshima ya vyombo vyetu vya Dola. He must step out now
Hivi Ofisi ya DCI ipi chini ya DPP?
Suala la kustaafu mtumishi wa Umma ni la kisheria, lakini pia hawezi kustaafu kwa kuwa tu wewe humpendi! Kama una tatizo na IGP Mtafute umuulize yote unayohisi kwako yanakupa kero.
 
CDF ndio anatakiwa astaafu. Yani makomandoo wanatekwa wanapigwa na polisi wanalia Kama watoto wachanga kisa kutii sheria bila shuruti nayeye amekaa kimya. Nafkiri anajaribu kuwaambia makomandoo na wanajeshi kuwa ukifutwa kazi huna utetezi kama hao wanaoteswa Ila anasahahau Kama wangeamua kupambana na kuua hao polisi jeshi lake lingelaumiwa mno kwa kutengeneza kundi lisilotii utawala.
Kama cdf hataingilia kati tutegemee tukio baya kabisa kuhusu komando na polisi na utawala wa ccm
 
Ni kweli kwenye awamu ya tano hasa hasa ofisi ya DPP na IGP zimetumika vibaya mno kunyanyasa wananchi.. ref ni hukumu mbalimbali lizlitolewa na mahakama zetu.

Mifumo ya haki ndani ya nchi hii imezingirwa na wakora, ni muda sasa wa kusimama na kusema "KATIBA MPYA" ili tutatue tatizo hili toka kwenye chanzo chake ili tukiokoe kizazi kinachokuja maana sisi tunaoishi leo hii mwaka 2120 tutakuwa hatupo duniani woote ila makabrasha na hata JF nafikiri itakuwepo kwa reference nyingi.
 
CDF ndio anatakiwa astaafu. Yani makomandoo wanatekwa wanapigwa na polisi wanalia Kama watoto wachanga kisa kutii sheria bila shuruti nayeye amekaa kimya. Nafkiri anajaribu kuwaambia makomandoo na wanajeshi kuwa ukifutwa kazi huna utetezi kama hao wanaoteswa Ila anasahahau Kama wangeamua kupambana na kuua hao polisi jeshi lake lingelaumiwa mno kwa kutengeneza kundi lisilotii utawala.
Kama cdf hataingilia kati tutegemee tukio baya kabisa kuhusu komando na polisi na utawala wa ccm
Yaani ufukuzwe Kazi halafu upatwe na tuhuma huko ulipo then utarajie Mwajiri wako wa zamani akukingie Kifua!!!! Hebu acheni Masihara bhana.

Halafu eti unasema kuna kitu kibaya kitatokea. Hayo ni Matamanio ya Moyo wako lakini HAKUNA KITAKACHOTOKEA.

Sheria itatenda haki
 
Back
Top Bottom