Ni wakati sasa kwa media za Tanzania kuonesha ubora wa nchi na sio majanga na vitimbwi!!

Ni wakati sasa kwa media za Tanzania kuonesha ubora wa nchi na sio majanga na vitimbwi!!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Sijaelewa ni nani aliyewafunza waandishi wetu wa habari yaani Taarifa za habari kwenye T.v ,redio na magazeti zimejaa habari za majanga tu hakuna ubunifu.

Kwa asilimia kubwa yapo mema yanayotokea kwenye jamii kwanini sasa jamii inalishwa taarifa za vitimbwi na majanga tu? Huu ni upuuzi na unapaswa kurekebishwa.

Wizara husika ije na muongozo wa asilimia ngapi ziwe habari za majanga, maendeleo, ubunifu, hamasa, historia yetu, burudani, elimu ya afya n.k

Tuondokane na upuuzi wa kuekezea majanga na aibu zisizo na tija kwa jamii.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Upo sahihi Kuna waandishi wanarepot negative tu hasa mikoai ya geita njombe na Arusha.
 
Ungeanza wewwe kuonyesha au kuorodhesha hayo mambo Mazzuri yaliyotokea huko mitaanni.
Kama huko mitaanni yanafanyika mambo Mabaya, wewe unatakaje? Hayo mambo mazurri watayatoa wapi ikiwa hayapo?
 
20240119_125210.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Mm pia ningesema kitu, ila nimegundua mwandishi kuna kitu huajfikiria vzuri
 
Mimi binafsi nilidhani ndio muda sahihi wa media kuanza kuonyesha matusi anayotukanwa raisi ili tupambane na hao wanaomtukana Rais, maana mijadala imekua mingi na wengine hatuoni hayo matusi anayotukanwa Rais.
 
Back
Top Bottom