Mleta mada kama sijakuelewa vizuri, yaani kutoka ghorofa la Tarimba kushuka chini kuja makaburini, nyumba zote zibomolewe halafu serikali ilipe fidia kwa kila nyumba kwasababu ya makaburi?
Yaani serikali iingie hasara ya mabilioni kwa sababu ya makaburi? Kwani mapori yote hayo yaliyowazi hamuyaoni?