Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #21
Anafaa sana kuwa mwenyekiti. Kwani kapungukiwa sifa gani ambazo Mwenyekiti wa sasa anazo!!Jipe nafasi ya kujifunza! Nape ni mwasiasa ndiyo lakini siyo wa kuwa Mwenyekiti wa CCM !
Sio kamtuma, huyu ni Nape mwenyewe.Kakutuma kupima upepo?
Unakumbuka Nape alivyokesha kuijenga CCM akiwa na kina Kinana enzi za CCM Goigoi zama za Kikwete?Mshajipima na kuona nafasi ya mwenyekiti nyepesi hivyo! nafuu aliyepita kuliko unayemtaka aje.
Alitimiza wajibu wake , Hapo unamchimba Jk sasa.Unakumbuka Nape alivyokesha kuijenga CCM akiwa na kina Kinana enzi za CCM Goigoi zama za Kikwete!!??
Alipambana na mawaziri mizigo mpaka akachukiwa. Enzi za mwendazake alitolewa na kutishiwa bastola hadharani.Alitimiza wajibu wake , Hapo unamchimba Jk sasa.
Kila Zama na Mambo yake, Ile bastola ilimfaa kwa kushiriki bao la mkono na ashukuru aliyemtolea alikuwa mgeni nayo.Alipambana na mawaziri mizigo mpaka akachukiwa. Enzi za mwendazake alitolewa na kutishiwa bastola hadharani!!
Samia ampishe Nape kitini aiongoze CCM kuelekea uchaguzi wa 2024/2025.Kila Zama na Mambo yake, Ile bastola ilimfaa kwa kushiriki bao la mkono na ashukuru aliyemtolea alikuwa mgeni nayo.
Bangi unazovuta nakushauri uziache tu zinapokupeleka siko.Rais wa nchi anayetokana na CCM kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa ni utamaduni tu ndani ya CCM na wala si takwa la kikatiba la chama hicho.
Kwa sasa Mwenyekiti wa CCM ni Samia Suluhu Hassan kutokana na mwana CCM huyo kuwa Rais wa Tanzania. Lakini kabla ya kuwa Rais, Samia alikuwa ni mjumbe tu wa Kamati Kuu ya CCM na sidhani kama asingekuwa Rais angeweza hata kupendekezwa kuwa Makamu wa mwenyekiti wa chama hicho.
Nape Nnauye ni mwanasiasa mzowefu ndani ya CCM na ni mwanasiasa maarufu kuliko wanasiasa wengi sana ndani ya CCM, na imani yake kwa chama hicho inazidi imani ya wanazi wengi tu walio kwenye madaraka ya juu CCM. Ni wakati sasa bila ya kujali tamaduni ya kumfanya Rais wa nchi kuwa mwenyekiti wa CCM, Nape awe Mwenyekiti wa Taifa CCM sasa
Nape amepambana sana kwa niaba ya CCM. Hata yale mambo ya goli la mkono kwenye chaguzi yeye ndiye muasisi wa falsafa hiyo.
Jambo safi, Ila sio kwa Nape.Rais wa nchi anayetokana na CCM kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa ni utamaduni tu ndani ya CCM na wala si takwa la kikatiba la chama hicho.
Kwa sasa Mwenyekiti wa CCM ni Samia Suluhu Hassan kutokana na mwana CCM huyo kuwa Rais wa Tanzania. Lakini kabla ya kuwa Rais, Samia alikuwa ni mjumbe tu wa Kamati Kuu ya CCM na sidhani kama asingekuwa Rais angeweza hata kupendekezwa kuwa Makamu wa mwenyekiti wa chama hicho.
Nape Nnauye ni mwanasiasa mzowefu ndani ya CCM na ni mwanasiasa maarufu kuliko wanasiasa wengi sana ndani ya CCM, na imani yake kwa chama hicho inazidi imani ya wanazi wengi tu walio kwenye madaraka ya juu CCM. Ni wakati sasa bila ya kujali tamaduni ya kumfanya Rais wa nchi kuwa mwenyekiti wa CCM, Nape awe Mwenyekiti wa Taifa CCM sasa
Nape amepambana sana kwa niaba ya CCM. Hata yale mambo ya goli la mkono kwenye chaguzi yeye ndiye muasisi wa falsafa hiyo.
Nape ni mwana CCM imara zaidi kuliko Samia. Huo ndiyo ukweli.Umeanza lini kuongelea habari za CCM? Kwani hujui katiba ya CCM inasemaje?
Au una mambo yako binafsi kichwani
Nimecheka sana kwa sauti!πππππππape Nnauye ni mwanasiasa mzowefu ndani ya CCM na ni mwanasiasa maarufu kuliko wanasiasa wengi sana ndani ya CCM, na imani yake kwa chama hicho inazidi imani ya wanazi wengi tu walio kwenye madaraka ya juu CCM. Ni wakati sasa bila ya kujali tamaduni ya kumfanya Rais wa nchi kuwa mwenyekiti wa CCM, Nape awe Mwenyekiti wa Taifa CCM sasa
Una mtazamo wa kikomredi sana kwenye zama hizi ambako CCM kumejaa mabepari. Nape kwa sasa ndiye mwana CCM pekee anayeweza kuiongoza CCM.Una kichwa cha panzi! Unafikiri CCM ni utumbo utumbo kama mawazo yako!
Jipe nafasi ya kujifunza! Nape ni mwasiasa ndiyo lakini siyo wa kuwa Mwenyekiti wa CCM.
Peleka ujinga wako huko. Mtu hata hajui mipaka ya madaraka yake? Alipokua waziri wa habari awamu ya tano kwa bifu lake kwa makonda kushikwa wema sepetu na bangi eti akaunda kamati kumchunguza makonda kuhusu kisa cha clauds, bila ya kutambua waziri hana madaraka kuunda kamati kama hiyo dhidi ya mkuu wa mkoa bila idhini ya rais. Pia kwa akili yake alifikiri kama waziri wa habari basi clouds ni issue yake bila kutambua mkuu wa mkoa ni mwakilishi wa rais mkoani na ana wajibu wa shughuli zote za serikali mkoana. Alivyohojiwa kuhusu wema alidai ana wajibu kumtetea kwa sababu mama zao wote wanatoka singida na eti baba zao wolikua marafiki.Rais wa nchi anayetokana na CCM kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa ni utamaduni tu ndani ya CCM na wala si takwa la kikatiba la chama hicho.
Kwa sasa Mwenyekiti wa CCM ni Samia Suluhu Hassan kutokana na mwana CCM huyo kuwa Rais wa Tanzania. Lakini kabla ya kuwa Rais, Samia alikuwa ni mjumbe tu wa Kamati Kuu ya CCM na sidhani kama asingekuwa Rais angeweza hata kupendekezwa kuwa Makamu wa mwenyekiti wa chama hicho.
Nape Nnauye ni mwanasiasa mzowefu ndani ya CCM na ni mwanasiasa maarufu kuliko wanasiasa wengi sana ndani ya CCM, na imani yake kwa chama hicho inazidi imani ya wanazi wengi tu walio kwenye madaraka ya juu CCM. Ni wakati sasa bila ya kujali tamaduni ya kumfanya Rais wa nchi kuwa mwenyekiti wa CCM, Nape awe Mwenyekiti wa Taifa CCM sasa
Nape amepambana sana kwa niaba ya CCM. Hata yale mambo ya goli la mkono kwenye chaguzi yeye ndiye muasisi wa falsafa hiyo.
Maelezo yako yanajipiga mtama yenyewe. Makonda hakuwa waziri. Lakini mpaka sasa ni Nape ndiye anatosha kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa. Nape anajua kutengeneza "Connections".Hebu kuweni serious jamani mnapopendekeza hawa wahuni kuchukua madaraka ya juu kwenye ccm au serikalini mnatushitua wengine.
Naunga mkono hojaRais wa nchi anayetokana na CCM kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa ni utamaduni tu ndani ya CCM na wala si takwa la kikatiba la chama hicho.
Kwa sasa Mwenyekiti wa CCM ni Samia Suluhu Hassan kutokana na mwana CCM huyo kuwa Rais wa Tanzania. Lakini kabla ya kuwa Rais, Samia alikuwa ni mjumbe tu wa Kamati Kuu ya CCM na sidhani kama asingekuwa Rais angeweza hata kupendekezwa kuwa Makamu wa mwenyekiti wa chama hicho.
Nape Nnauye ni mwanasiasa mzowefu ndani ya CCM na ni mwanasiasa maarufu kuliko wanasiasa wengi sana ndani ya CCM, na imani yake kwa chama hicho inazidi imani ya wanazi wengi tu walio kwenye madaraka ya juu CCM. Ni wakati sasa bila ya kujali tamaduni ya kumfanya Rais wa nchi kuwa mwenyekiti wa CCM, Nape awe Mwenyekiti wa Taifa CCM sasa
Nape amepambana sana kwa niaba ya CCM. Hata yale mambo ya goli la mkono kwenye chaguzi yeye ndiye muasisi wa falsafa hiyo.