johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mfumo wa vyama vingi vya siasa bila Mikutano ya Kisasa ni sawa na kuwa katika mfumo wa Chama kimoja.
Nashauri viruhusiwe sasa kwani tumeshavisahau yaani vinavyokumbukwa ni CCM, Chadema na Chaumma tu.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Nashauri viruhusiwe sasa kwani tumeshavisahau yaani vinavyokumbukwa ni CCM, Chadema na Chaumma tu.
Mungu wa mbinguni awabariki.