NI wakati Sasa wa CHADEMA kuwaomba Fatuma Karume au Maria Sarungi kuongoza BAWACHA

NI wakati Sasa wa CHADEMA kuwaomba Fatuma Karume au Maria Sarungi kuongoza BAWACHA

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Nachojua siasa za upinzani zinahitaji mtu asiyeyumba, Asiye na Tamaa na anayejitoa.

Kwa harakati wanazofanya hasa kwa kujitoa kwao, Zilivyo logical naamini Kuna sehemu watakipeleka chama mbali.

Pia Maria anaweza pia kuanzisha vipindi maalumu kwenye tv vya kuelezea Sera na malengo ya chademà bila kukashifu au kufanya makosa ya kimtandao na ninaamini Wana uwezo mkubwa Sana wa wa kujenga hoja kuliko hata akina mdee na bulaya na Esta Matiko.

Toka akina halima mdee watoke chadema ukweli sijaona wanawake ndani ya Bawacha waliokuwa na nguvu ya ushawishi kuzidi wao.

Hivyo kubali kataa chadema unataka mabadiliko makubwa uzidisha nguvu ya taasisi hiyo kubwa.
 
Sio kweli, Chadema wana wanawake wengi mahiri na tayari wanaendelea kukipigania chama ila wewe huwezi kuwaona kwa sababu hauna ushabiki na Chadema.
 
Kuna watu wanadhani mtu akiwa Critical au tuseme mkosoaji basi anafaa kuwa Kiongozi, very wrong.
 
2477431_1596646679096.png
 
Hao uliowataja hawataki siasa za vyama, wangetaka wangeshajiunga. Isitoshe Cdm kuna wanawake wengi tena wenye uwezo mkubwa, ila wewe uko kwenye mazoea zaidi, ndio maana unaamini unachoamini.
 
Siasa na uanaharakati vinafanana ila ni vitu viwili tofauti
 
Back
Top Bottom