Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Wakuu,
Ujue watu wamejiuliza sana kwanini wachezaji wazuri walipokuwa team zao kila wakienda Simba wanazikwa?
Gadiel wakati yupo yanga alimpokonya mpka Tshabalala namba national team alikuwa first choice na afcon alicheza mechi zote mpka wakati kuwania kwenda huko.
Lakini toka aje simba hapewi namba badala yake kishingo anampanga yule kilaza mtoto wake wa kambo tshabalala why? I think mechi na platinum gadiel aanze.
Tumeona tu kila anapopewa nafasi anam-prove wrong kishingo. Jana kafunga na goli. Sikumbuki Tshabalala lini kafunga.
Pia beki mzuri ibrahim ame hapati namba na badala yake yanapewa mazee kina wawa na onyango, yamechoka na yanakula pension za Burr kabisa.
Sasa sisi kama mashabiki wa simba tumechoka na uonevu huu wa kishingo kuua wachezaji.
Na pia Mwamedi hatumtaki. Katusajilia machezaji madudu matupu
Ujue watu wamejiuliza sana kwanini wachezaji wazuri walipokuwa team zao kila wakienda Simba wanazikwa?
Gadiel wakati yupo yanga alimpokonya mpka Tshabalala namba national team alikuwa first choice na afcon alicheza mechi zote mpka wakati kuwania kwenda huko.
Lakini toka aje simba hapewi namba badala yake kishingo anampanga yule kilaza mtoto wake wa kambo tshabalala why? I think mechi na platinum gadiel aanze.
Tumeona tu kila anapopewa nafasi anam-prove wrong kishingo. Jana kafunga na goli. Sikumbuki Tshabalala lini kafunga.
Pia beki mzuri ibrahim ame hapati namba na badala yake yanapewa mazee kina wawa na onyango, yamechoka na yanakula pension za Burr kabisa.
Sasa sisi kama mashabiki wa simba tumechoka na uonevu huu wa kishingo kuua wachezaji.
Na pia Mwamedi hatumtaki. Katusajilia machezaji madudu matupu