Ni wakati sasa wa Gadiel na amekuchukua namba zao. Simba kocha aache kukariri

Ni wakati sasa wa Gadiel na amekuchukua namba zao. Simba kocha aache kukariri

Yule zelu zelu wetu calhinho mbona hachezi siku hizi?
 
Gadiel ni mzuri but match fittines na umakini hawezi kumfikia Zimbwe.
Gadiel aliwaza sana kuhusu pesa na maisha kuliko mpira. Huwezi kwenda timu ambayo inamchezaji wa namba yako msa mrwfu bado ni kijana.
Hata Ajibu sizani kama wataongezewa mkataba tena ukiisha.
 
Wakuu,

Ujue watu wamejiuliza sana kwanini wachezaji wazuri walipokuwa team zao kila wakienda Simba wanazikwa?

Gadiel wakati yupo yanga alimpokonya mpka Tshabalala namba national team alikuwa first choice na afcon alicheza mechi zote mpka wakati kuwania kwenda huko.

Lakini toka aje simba hapewi namba badala yake kishingo anampanga yule kilaza mtoto wake wa kambo tshabalala why? I think mechi na platinum gadiel aanze.

Tumeona tu kila anapopewa nafasi anam-prove wrong kishingo. Jana kafunga na goli. Sikumbuki Tshabalala lini kafunga.

Pia beki mzuri ibrahim ame hapati namba na badala yake yanapewa mazee kina wawa na onyango, yamechoka na yanakula pension za Burr kabisa.

Sasa sisi kama mashabiki wa simba tumechoka na uonevu huu wa kishingo kuua wachezaji.

Na pia Mwamedi hatumtaki. Katusajilia machezaji madudu matupu
Hukumbuki Ni lini Tshabalala alufunga goli!?
Hivi Kuna ulazima wowote wa kuonesha ujinga nabutopolo mbele za watu kirahisi namna hii!!!!!
 
Haya yamekuwa tuliosema tshabalala wenu katemwa national team.tuliawaambia Huyo anakamia na kina ndanda mkabisha oneni sasa

Yassin mustapha first choice
 
Kwa mtizamo huo huo, unazungumziaje kuachwa kwa Metacha Mnata?
Metacha kaachwa lakini alifanya anafanya powa ila walioitwa wamemzidi

Na tshabalala hivyo hivyo hakuna kitu amefanya walioitwa yassini mustapha na Edward manyama wamemzidi na gadiel akianza kupata namba huyo andunje wenu amekwisha
 
Metacha kaachwa lakini alifanya anafanya powa ila walioitwa wamemzidi

Na tshabalala hivyo hivyo hakuna kitu amefanya walioitwa yassini mustapha na Edward manyama wamemzidi na gadiel akianza kupata namba huyo andunje wenu amekwisha
Kwa hiyo unakubaliana kuwa wale kina Dan Mgore sijui wa Biashara wamemzidi Metacha??
 
LaLiga De Utopolo FC
Kimbinyiko FC, Gongowazi FC wanateseka sana na Kikosi cha Lunyasi.
Jitu zima linadai Simba ina beki Wazee oooh Simba ina Beki uchochoro! Halafu ukiliuliza timu gani imeruhusu magori machache kwenye VPL linaaanza blah blah.
 
LaLiga De Utopolo FC
Kimbinyiko FC, Gongowazi FC wanateseka sana na Kikosi cha Lunyasi.
Jitu zima linadai Simba ina beki Wazee oooh Simba ina Beki uchochoro! Halafu ukiliuliza timu gani imeruhusu magori machache kwenye VPL linaaanza blah blah.
Nguvu ya muamala ndiyo inapunguza Idadi ya magoli
 
Back
Top Bottom