Bhaghosha
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 234
- 183
Mheshimiwa Rais kapokea repoti ya CAG na kutoa hotuba kali iliyojaa uchungu na nchi yake.
Mheshimiwa Rais kaitoa hotuba mbele ya serikali yake, Lakini kikubwa mbele ya Wakuu wa Vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwa hotuba ile wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na mahakama wamepewa kazi ya kutekeleza mara moja.
Ninategemea kabisa, Mkuu wa majeshi ya ulinzi ataitisha kikao cha dharula cha wakuu wenzake ili kutafakari maagizo ya CinC wake na kutoa majukumu ya namna watakavyoyatekeleza.
Hawa mchwa wanaokula fedha ya wanainchi bila uchungu wanatakiwa kushughulikiwa mara moja bila huruma.
Kutokuwashughulikia ni sawa na kupinga amri halali ya mkuu wao na kutokutii kiapo chao cha utii kwa CinC, Nchi na usalama na haki za wanainchi.
Pia, ni wakati sasa vyombo vyetu viingilie kati, kwani wanasiasa na mhimili wa wabunge, washauri wa karibu wa raisi kikiwemo kitengo wameshindwa kutimiza wajibu wao kabisa. Zero.
Mungu ibariki na isaidie Tanzania, Mungu Mbariki na msaidie Rais wetu. Amen.
Mheshimiwa Rais kaitoa hotuba mbele ya serikali yake, Lakini kikubwa mbele ya Wakuu wa Vyombo vya ulinzi na usalama.
Kwa hotuba ile wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na mahakama wamepewa kazi ya kutekeleza mara moja.
Ninategemea kabisa, Mkuu wa majeshi ya ulinzi ataitisha kikao cha dharula cha wakuu wenzake ili kutafakari maagizo ya CinC wake na kutoa majukumu ya namna watakavyoyatekeleza.
Hawa mchwa wanaokula fedha ya wanainchi bila uchungu wanatakiwa kushughulikiwa mara moja bila huruma.
Kutokuwashughulikia ni sawa na kupinga amri halali ya mkuu wao na kutokutii kiapo chao cha utii kwa CinC, Nchi na usalama na haki za wanainchi.
Pia, ni wakati sasa vyombo vyetu viingilie kati, kwani wanasiasa na mhimili wa wabunge, washauri wa karibu wa raisi kikiwemo kitengo wameshindwa kutimiza wajibu wao kabisa. Zero.
Mungu ibariki na isaidie Tanzania, Mungu Mbariki na msaidie Rais wetu. Amen.