Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Umepiga kura?Ni miongoni mwa magolikipa bora kuwahi kutokea Simba na Tanzania!
Ikumbukwe toka zama na zama, Simba imekuwa ikipata magolikipa hodari sana, tangu enzi za akina Athumani Mambosasa, Hamisi Kinye, Mwameja, Steven Nemes, Juma Kaseja, na sasa ni zama za Aishi Manula!
Achana na rekodi zake lukuki katika ligi ya bongo, Manula amekuwa na fomu nzuri katika michuano ya klabu bingwa kwa misimu ya karibuni!
Kwenye mechi 12 zilizopita, Air Manula ana clean sheet 8 tena clean sheet 3 akizipata mechi za ugenini, hii inaonyesha ni jinsi gani kijana amekwiva na sasa anaweza akaanza kutafuta timu nje ya nchi!
Ni wakati wa kumpa sifa zake Manula, tusingoje hadi siku afe ndio tulete unafki wetu! Wakati na sasa...
View attachment 1977743
Unakusudia nini maana ashawahi kupigwa Khamsa Khamsa huyu[emoji1751][emoji1751]Ni miongoni mwa magolikipa bora kuwahi kutokea Simba na Tanzania!
Ikumbukwe toka zama na zama, Simba imekuwa ikipata magolikipa hodari sana, tangu enzi za akina Athumani Mambosasa, Hamisi Kinye, Mwameja, Steven Nemes, Juma Kaseja, na sasa ni zama za Aishi Manula!
Achana na rekodi zake lukuki katika ligi ya bongo, Manula amekuwa na fomu nzuri katika michuano ya klabu bingwa kwa misimu ya karibuni!
Kwenye mechi 12 zilizopita, Air Manula ana clean sheet 8 tena clean sheet 3 akizipata mechi za ugenini, hii inaonyesha ni jinsi gani kijana amekwiva na sasa anaweza akaanza kutafuta timu nje ya nchi!
Ni wakati wa kumpa sifa zake Manula, tusingoje hadi siku afe ndio tulete unafki wetu! Wakati na sasa...
View attachment 1977743
kupigwa khamsa haina maana ya kuwa si kipa bora rejea takwimu za mtoa mada na jaribu kuangalia ktk mechi zote tusiwe wachoyo wa fadhila aishii ni bora kuliko de geaUnakusudia nini maana ashawahi kupigwa Khamsa Khamsa huyu[emoji1751][emoji1751]
ππ»Chelsea kuna Mendy.
Simba kuna Manula
π₯π₯π₯Tanzania one Aishi Manula.
Kupigwa hamsa hakumzuii kuwa kipa bora, iweke akilini hiyoUnakusudia nini maana ashawahi kupigwa Khamsa Khamsa huyu[emoji1751][emoji1751]
ππWakija uto watakataa hili au wapite kimya kimya
Ni miongoni mwa magolikipa bora kuwahi kutokea Simba na Tanzania!
Ikumbukwe toka zama na zama, Simba imekuwa ikipata magolikipa hodari sana, tangu enzi za akina Athumani Mambosasa, Hamisi Kinye, Mwameja, Steven Nemes, Juma Kaseja, na sasa ni zama za Aishi Manula!
Achana na rekodi zake lukuki katika ligi ya bongo, Manula amekuwa na fomu nzuri katika michuano ya klabu bingwa kwa misimu ya karibuni!
Kwenye mechi 12 zilizopita, Air Manula ana clean sheet 8 tena clean sheet 3 akizipata mechi za ugenini, hii inaonyesha ni jinsi gani kijana amekwiva na sasa anaweza akaanza kutafuta timu nje ya nchi!
Ni wakati wa kumpa sifa zake Manula, tusingoje hadi siku afe ndio tulete unafki wetu! Wakati na sasa...
View attachment 1977743
Alidaka Kakolanya, Simba Ina historia ya kutoa makipa Bora ndio maana hata jina la Tanzania one lilianzia kwa Simba sehemu nyingine ni viungo boraMkuu umeisahau mechi ya away zidi ya merreik simba alipata sare ya 0-0