Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Awake! Awake! All Kenyan, Wakenya wasikubali kuendeshwa na huyo mzee ambaye tayari amekwisha kula chumvi nyingi.
Wakenya waamke wasimame imara wasikubali kushawishiwa na kufanya mambo ya kipuuzi, ambayo yataharibu sifa nzuri ya Taifa yao ya Kenya kwa uroho ya madaraka ya mtu mmoja asiyetosheka japo kuwa ni tajiri wa kutupa.
Wakenya kumbukeni kuaribu taifa ni rahisi sana lakini itakapobomoka kuirudisha itachukuwa miaka mingi sana pia italeta shida kwa mfumo mzima wa taifa.
TUNAKUOMBA RAILA ITISHENI KIKAO CHA MAJADILIANO MKAE MEZANI MUONGEE MTATUE HII SHIDA.
Wakenya waamke wasimame imara wasikubali kushawishiwa na kufanya mambo ya kipuuzi, ambayo yataharibu sifa nzuri ya Taifa yao ya Kenya kwa uroho ya madaraka ya mtu mmoja asiyetosheka japo kuwa ni tajiri wa kutupa.
Wakenya kumbukeni kuaribu taifa ni rahisi sana lakini itakapobomoka kuirudisha itachukuwa miaka mingi sana pia italeta shida kwa mfumo mzima wa taifa.
TUNAKUOMBA RAILA ITISHENI KIKAO CHA MAJADILIANO MKAE MEZANI MUONGEE MTATUE HII SHIDA.