Ni wakati upi roho huuingia mwili?

Ni wakati upi roho huuingia mwili?

Attachments

  • 1452060603348.jpg
    1452060603348.jpg
    11.4 KB · Views: 60
Huu hapa kwa njia ya picha
 

Attachments

  • 1452060822464.jpg
    1452060822464.jpg
    81 KB · Views: 79
  • 1452060835515.jpg
    1452060835515.jpg
    86.2 KB · Views: 65
  • 1452060848815.jpg
    1452060848815.jpg
    93.2 KB · Views: 61
  • 1452060860246.jpg
    1452060860246.jpg
    73.9 KB · Views: 59
Nimesikia Kuwa Roho hazifi bila zinahama mwili mmoja kwenda mwingine. Yaani ukifa utazaliwa katika mwili mwingine lakini utakuwa ni wewe yuleyile na ili upate historia yako ya miili yako ya zamani ni lazima ufanye reincarnation.
Sasa nauliza niwakati gani Roho huuingia mwili wa mwanadamu?

Kwanza nakushukuru kwa swali maana unataka kujua,
ila mwalimu wako wa mwanzo aliyekufundisha hivyo nadhani alikosea.
Ni mpenzi wa maandiko matakatifu hivyo nitakujibu kulingana na biblia.
maandiko yanasema baada ya Mungu kumuumba mwanadamu, alimpulizia pumzi ya uhai akawa nafsi hai.
Mtu anapokufa pumzi humrudia Mungu, aliyeitoa, ila usiniulize hiyo pumzi anaitunza wapi maana hata hapo ulipo kuna hewa je? imetunzwa wapi?Hivyo ukifa huwezi kurejea katika mwili mwingine, hayo ni mafundisho ya uongo. " Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa"
nadhani umeelewa, kama hujaelewa nitarejea.
 
Nimesikia Kuwa Roho hazifi bila zinahama mwili mmoja kwenda mwingine. Yaani ukifa utazaliwa katika mwili mwingine lakini utakuwa ni wewe yuleyile na ili upate historia yako ya miili yako ya zamani ni lazima ufanye reincarnation.
Sasa nauliza niwakati gani Roho huuingia mwili wa mwanadamu?
Roho ndio nini? au hii hewa inayoingia na kutoka mwilini..
Mkuu namie naomba niongeze nguvu kwa kuwaita @Pasco na Mshana jr
Kuna theories nyingi katika hili
1. Mchakato wa reincarnation huanza pale mimba inapotungwa, kwamba kwenye huo ulimwengu wa roho inajulikana kabisa kuwa roho ya fulani itaingia kwenye mwili fulani utakapozaliwa kutegemeana na matendo husika ya ile roho inayoishi
2. Mtoto aliyepo tumboni huishi kutegemea roho ya mama yake na Mchakato wa kubadili roho hufanyika with supersonic speed toka kwenye mwili unaokufa kuingia kwenye mwili unaozaliwa, Mchakato huu ukikosewa kidogo tu miili yote hufa na roho husika kubaki kuwa pepo mzimu au roho inayotangatanga
3. Kuna mahusiano ya moja kwa moja toka kwa wale wawili watakaoshirikiana tendo la ndoa ili mimba itungwe na kiumbe kilicho hai ambacho baadae kitakufa ili roho yake iende kule kwenye mimba husika
NB: hizi ni theories za reincarnation zisizo na ithibati ya mia kwa mia
- roho na miili ninavyozungumzia ni pamoja na wanyama na viumbe wengineo
 
acheni uongo hakuna kitu kama hicho mtu akifa roho au nafsi haifi wala haingii kwa binadamu mwingine kama inaingia kwa binadamu mwingine wewe ulikua nani hapo zaman au nani alikufa akasema mimi niliishi zamani na nilikua fulan ni nani?
 
acheni uongo hakuna kitu kama hicho mtu akifa roho au nafsi haifi wala haingii kwa binadamu mwingine kama inaingia kwa binadamu mwingine wewe ulikua nani hapo zaman au nani alikufa akasema mimi niliishi zamani na nilikua fulan ni nani?
Tunaongelea katika muktadha wa reincarnation
 
Wakati baba yangu mzee Izack amekufa.alikuwa ananijia ndotoni na kunipa maagizo yangu na sometimes ya pale home.

Iliendelea hivyo usiku mmoja akaniambia mtu akifa roho yake inaingizwa kwa kitu kingine, hivyo yeye baba roho yake imeingizwa kwa ,chui, niliohopa. Sikuweza kumhoji kitu. Sasa huwa hanijii tena kwa ndoto.

Natamani aje tena. ........
 
Wakati baba yangu mzee Izack amekufa.alikuwa ananijia ndotoni na kunipa maagizo yangu na sometimes ya pale home.

Iliendelea hivyo usiku mmoja akaniambia mtu akifa roho yake inaingizwa kwa kitu kingine, hivyo yeye baba roho yake imeingizwa kwa ,chui, niliohopa. Sikuweza kumhoji kitu. Sasa huwa hanijii tena kwa ndoto.

Natamani aje tena. ........

Pure Hallucination!
 
acheni uongo hakuna kitu kama hicho mtu akifa roho au nafsi haifi wala haingii kwa binadamu mwingine kama inaingia kwa binadamu mwingine wewe ulikua nani hapo zaman au nani alikufa akasema mimi niliishi zamani na nilikua fulan ni nani?

Well said Mkuu..!
 
Kwanza nakushukuru kwa swali maana unataka kujua,
ila mwalimu wako wa mwanzo aliyekufundisha hivyo nadhani alikosea.
Ni mpenzi wa maandiko matakatifu hivyo nitakujibu kulingana na biblia.
maandiko yanasema baada ya Mungu kumuumba mwanadamu, alimpulizia pumzi ya uhai akawa nafsi hai.
Mtu anapokufa pumzi humrudia Mungu, aliyeitoa, ila usiniulize hiyo pumzi anaitunza wapi maana hata hapo ulipo kuna hewa je? imetunzwa wapi?Hivyo ukifa huwezi kurejea katika mwili mwingine, hayo ni mafundisho ya uongo. " Watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa"
nadhani umeelewa, kama hujaelewa nitarejea.
Sasa mkuu unaposema mwalimu wake alikosea alafu wewe unaleta hizi riwaya za kwenye bible tukueleweje?
Eti unasema hayo ni mafundisho ya uongo huku ukitaka tuyaamini hayo ya kwako. Ukimwambia hizi ngonjera mtu anaetumia akili yake vizuri lazima akuwashe makofi
 
Mkuu hebu tufafanulie kuhusu huu mlango wa Eden.
aretasludovick kwanza cha msingi ni kujua roho ni nini? .... hili neno nimeshuhudia na kuona waumini wengi wakilisema lakini wengi wao huwa wanajichanganya sana tuuu... ukisoma katika biblia (mwanzo) mungu alimuumba binadamu kwa mavumbi alafu akampulizia pumzi ya uhai ambayo ni nafsi iliyo hai, na hapo ndipo ilipoishia katika uumbaji wa binadamu ila haikusema kwamba binadamu aliwekewa pia roho.... swali ni kwamba je roho ni nini na ilitokea wapi???
NINGEIELEZEA HAPA KWA KIREFU BUT NAOGOPA KUINGILIA UZI WA WATU BILA YA RUHUSA...
 
aretasludovick kwanza cha msingi ni kujua roho ni nini? .... hili neno nimeshuhudia na kuona waumini wengi wakilisema lakini wengi wao huwa wanajichanganya sana tuuu... ukisoma katika biblia (mwanzo) mungu alimuumba binadamu kwa mavumbi alafu akampulizia pumzi ya uhai ambayo ni nafsi iliyo hai, na hapo ndipo ilipoishia katika uumbaji wa binadamu ila haikusema kwamba binadamu aliwekewa pia roho.... swali ni kwamba je roho ni nini na ilitokea wapi???
NINGEIELEZEA HAPA KWA KIREFU BUT NAOGOPA KUINGILIA UZI WA WATU BILA YA RUHUSA...
Sasa mkuu anzisha uzi wako ili tupate maarifa
 
kundalin awakening is the mother energy or intelligence of complete maturation
 
hapana mkuu sio sexxx. kundalini awakening ni hali yakuamsha na kuihisi mother energy or intelligence of complete maturation,ukiwa katika deep meditation unaweza kui experience hii nguvu ambapo huanzia kwenye chakra ya kwanza (root chakra) kuelekea central chakra ambayo inaitwa solar plexus chackra, ndani au sambamba na uti wa mgongo kupanda juu kufikikia juu ya kichwa...

hii progress ya kundalini kupitia chackra tofauti hupelekea level tofauti za uamkaji na mystical experience. mpaka hatimae kundalini ifikapo juu ya kichwa kwenye chackra inayo itwa crown chackra, amabyo hu produce an extremely profound mystical experience...so uki bring total awareness katika hilo zoezi u might feel the presence of ur soul as well.
 
hapana mkuu sio sexxx. kundalini awakening ni hali yakuamsha na kuihisi mother energy or intelligence of complete maturation,ukiwa katika deep meditation unaweza kui experience hii nguvu ambapo huanzia kwenye chakra ya kwanza (root chakra) kuelekea central chakra ambayo inaitwa solar plexus chackra, ndani au sambamba na uti wa mgongo kupanda juu kufikikia juu ya kichwa...

hii progress ya kundalini kupitia chackra tofauti hupelekea level tofauti za uamkaji na mystical experience. mpaka hatimae kundalini ifikapo juu ya kichwa kwenye chackra inayo itwa crown chackra, amabyo hu produce an extremely profound mystical experience...so uki bring total awareness katika hilo zoezi u might feel the presence of ur soul as well.
okeeey.... nmekusoma ndugu.
 
Back
Top Bottom