Ni wakati wa Harmonize kutumia weakness za Diamond Platnumz hasa skendo za Wanawake kujiongezea fanbase

Ni wakati wa Harmonize kutumia weakness za Diamond Platnumz hasa skendo za Wanawake kujiongezea fanbase

Acha kucatch feelings we mwanamke...any publicity is good publicity...Kwanza kitendo Cha harmonize kuoa kashajipunguzia funbase...we mwenyewe ukute unamkubali mond kwa kuhisi unaweza pata nafasi
NASEMA HIVI DOMO HANA MPINZAN KWA WANAMUZIKI WA BONGOFLAVA KWA MAFANIKIO YA MUZIKI
DIAMOND NI SHETAN
HARMONIZE MCHAWI
SASA TANGU LINI MCHAWI AKAMZID SHETANI?
 
NASEMA HIVI DOMO HANA MPINZAN KWA WANAMUZIKI WA BONGOFLAVA KWA MAFANIKIO YA MUZIKI
DIAMOND NI SHETAN
HARMONIZE MCHAWI
SASA TANGU LINI MCHAWI AKAMZID SHETANI?
Ok sawa ni kweli kabisa mkuu but sio kwamba atadum kwenye peek milele,ni lazima atashuka na Kati ya vitu kitakavyomharibia na kumshushia funbase ni hii ishu ya mahusiano yake mabaya.
 
Wewe sio shabiki ni snitch kwenda zako kenge wewe maisha ya mond mwachie mond
 
I'm Diamond platnumz's fun.



Any bongo fleva artist.

Our music dominates.
I appreciate your correction's,according to how u see it's correct to you.
But I hope you got a general message.
 
Wewe sio shabiki ni snitch kwenda zako kenge wewe maisha ya mond mwachie mond

Sent using Jamii Forums mobile app
So hivi ukiwa Diamond platinumz fun,huruhusiwi kumkosoa akikosea?
Umecheck previous thread's zangu juu ya Diamond au umeamua kupinga tu na kuropoka,usiwe Kama Ccm Mp's wao kila kitu yes Haijarishi kizuri au kibaya?
Badirika mkuu.
 
Ok sawa ni kweli kabisa mkuu but sio kwamba atadum kwenye peek milele,ni lazima atashuka na Kati ya vitu kitakavyomharibia na kumshushia funbase ni hii ishu ya mahusiano yake mabaya.
Nedago MAHUSIANO MABAYA AMEBAKA UNDER 18??? MOND NI MSWAHILI HALAFU KATOKA POOR FAMILY HALAFU MTU WA KIGOMA...HARMONIZE KWA YULE MZUNGU HAFURUKUTI.NI KWELI MOND ATAPOTEA PALE ATAKAPOACHA KUIMBA NEW SONGS NDO HAPO ATAPOTEA..ILA KWA SASA HAKUNA WA KUMZID MONDI...NASEMA HAKUNA KWA SASA..
HARMONIZE YUKO VIZURI SEMA HAWEZ KUMZID MOND KWA VILE ANAMKOPY HADI KUONGEA,,,,,, HALAFU MOND ANA MASHABIKI WENGI YAAN N KAMA SIMBA VS AZAM AU YANGA VS AZAM
 
Bob Marley kaacha watoto 12 kutoka kwa mama 9 tofauti. Sasa wewe unajua heshima anayopewa marehemu Bob Marley kwenye ulimwengu huu?
Mode yake ilikuwaje? Sio tu alikuwa na watoto 12,maana hata Hemed PhD anadai anao watoto 6 na wengine amewasahau
Lakini wenzie hawaweki relationship zao public,ila wambea ndio wanachimba hadi kuja kujua inachukua muda sana,
Lakini yeye mondi anawaweka wazi na kuiaminisha dunia kuwa anaoa mwishowe anawatema.

Angalau ambae hakumuweka wazi ni hamisa mobetto,hadi watu walipochimba na kuja kugundua wakati time imeenda kozi hakumuweka public na ndivyo wanavyofanya mastar wakubwa duniani ambao hawajapanga kuoa now,sio kuwaweka public,ndio maana kwa mobetto wala halaumiwi sana,maana hakumweka wazi.
 
Mode yake ilikuwaje? Sio tu alikuwa na watoto 12,maana hata Hemed PhD anadai anao watoto 6 na wengine amewasahau
Lakini wenzie hawaweki relationship zao public,ila wambea ndio wanachimba hadi kuja kujua inachukua muda sana,
Lakini yeye mondi anawaweka wazi na kuiaminisha dunia kuwa anaoa mwishowe anawatema.

Angalau ambae hakumuweka wazi ni hamisa mobetto,hadi watu walipochimba na kuja kugundua wakati time imeenda kozi hakumuweka public na ndivyo wanavyofanya mastar wakubwa duniani ambao hawajapanga kuoa now,sio kuwaweka public,ndio maana kwa mobetto wala halaumiwi sana,maana hakumweka wazi.


Mkuu Bob Marley was married still sleeping with other women and having kids. Kuna watoto wengine wa Bob Marley wamezaliwa na mama tofauti wakipishana wiki kadhaa tu. Jamaa alifanya scandal huyu Diamond atasubiri sana, lakini leo hii ndio most respected musician in the world.
 
Juhudi aliyoifanya harmonize ndo ameishia hapo , pesa alizotumia kujipush mpak hapo hao managers wake hawana hamu na hasara waliyopigwa sio ya kitoto , plus hii Corona , stegemei anaother Kondeboy counter offensive attack against WCB , jembe ni jembe anawaza hzo hela alizopoteza atazirudishaje , alitegemea ataburst kwenye show , now Corona imezika kila kitu , kondegang's last stand ni kudandia matangazo baas, hii ni only for genius ,
 
So hivi ukiwa Diamond platinumz fun,huruhusiwi kumkosoa akikosea?
Umecheck previous thread's zangu juu ya Diamond au umeamua kupinga tu na kuropoka,usiwe Kama Ccm Mp's wao kila kitu yes Haijarishi kizuri au kibaya?
Badirika mkuu.
Mahusiano yake wewe yanakuhusu nini? Weewe fatilia mziki wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmmmhmn baba, mbona umeandika kwa jazba hivyo.....
hajaandika kwa jazba ...ame spin fact tupu.... simpendi diamond but katika hili Nina mtetea...katika hatua aliyonayo ni vigum mnooo kumpata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati...wengi wanao kwenda kwake ni opportunisty ni ngum kwake kumpata mwenye mapenzi ya kweli...... ambaye atakaye weza kumpenda diamond kama nasibu Abdul nasio diamond platinum CEO wa wasafi..... though mademu wengi sana tabia ya kujilengesha so acha awatafune tu....wengi wanajipeleka kwake kwaajili ya kutafuta fame nothing else
 
Back
Top Bottom