Ni wakati wa Juma Abdul kuitwa Stars

Ni wakati wa Juma Abdul kuitwa Stars

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Kwa mabeki wa kulia waliopo sasa ukimtoa Kapombe nazani beki bora anaefuatia ni Juma Abdul. Hapo nyuma Zahera alimshusha kiwango kwa kumuweka bechi bila sababu.Kwa tulioangalia vzr mechi za Stars za hv karibuni uzoefu ni kitu muhimu sn. Juma ni mzoefu km Yondani na Elasto. J.Abdul anafaida kubwa awapo uwanjani km ifuatavyo:-

1. Anapiga krosi murua na zenye macho.
2.Anauwezo mzuri wa kumiliki mpira.
3.Uwezo mzuri wa kupiga faulo kutokea upande wa kulia.
4.Uwezo mzuri wa kupanda na kushuka
5.Anakaba kwa akili ndio maana ni mara chache kuona akipewa kadi za njano au nyekundu.
Hivyo wakati tukisubiri akina Kapombe na Boxer wapone hebu kwa ss twende na Juma nazani atatusaidia.
 
paul goldifrey boxer humjui ???
Hata yanga ni mzigo
 
Boxer anaweza akawa mzigo kwa mtazamo wako ila ndie anatajwa kuja kuwa beki mzuri wa kulia baada ya akina Juma na Kapombe.Hata Ndairagije kamzungumzia juzi.
paul goldifrey boxer humjui ???
Hata yanga ni mzigo
 
Hii timu si ya Muungano? Ni kweli ligi zote za bara na visiwani wamekosa beki wa kulia? Waache uvivu wanapaswa kutafuta wachezaji, mbona wapo wengi tu!
 
Hah hah nakupenda T&Z
Hii timu si ya Muungano? Ni kweli ligi zote za bara na visiwani wamekosa beki wa kulia? Waache uvivu wanapaswa kutafuta wachezaji, mbona wapo wengi tu!
 
Kwa mabeki wa kulia waliopo sasa ukimtoa Kapombe nazani beki bora anaefuatia ni Juma Abdul. Hapo nyuma Zahera alimshusha kiwango kwa kumuweka bechi bila sababu.Kwa tulioangalia vzr mechi za Stars za hv karibuni uzoefu ni kitu muhimu sn. Juma ni mzoefu km Yondani na Elasto. J.Abdul anafaida kubwa awapo uwanjani km ifuatavyo:-

1. Anapiga krosi murua na zenye macho.
2.Anauwezo mzuri wa kumiliki mpira.
3.Uwezo mzuri wa kupiga faulo kutokea upande wa kulia.
4.Uwezo mzuri wa kupanda na kushuka
5.Anakaba kwa akili ndio maana ni mara chache kuona akipewa kadi za njano au nyekundu.
Hivyo wakati tukisubiri akina Kapombe na Boxer wapone hebu kwa ss twende na Juma nazani atatusaidia.
Nakubaliana na Wewe,
Juma Abdul Jaffar wa Mnyamani ni mzuri mara 100 kuliko Hassan Kessy. Labda ni vile tu Kessy anacheza Nje ya nchi. Wa Mnyamani ana uwezo mkubwa wa kupanda na kushuka, cross zenye macho, nguvu ya kukaba washambuliaji wasumbufu etc.
 
Tatizo ni uvivu wa makocha wa stars hivi Tanzanian nzima tumekosa beki namba mbili au kwa sababu wamekazania kutazama ligi kuu
 
Kiukweli Juma Abdul anafaa sana hawa wote waloitwa hakuna hata mmoja aliefika hata nusu ya kiwango chake.
 
Juma abduli alishakwisha siku nyingi ,

Alianza umalaya ,ana mke lakini ana wanawake kama wanne hivi kila mmoja kawapangia chumba kisirisiri, toka aanze hiyo michezo alishuka sana na kupotea
 
Na uhakika maana kuna demu alikuwa wangu kitambo tukaachana , sasa hivi kapangiwa chumba na Juma abduli, anaenda kula mzigo anavyotaka , na sio huyo tu ,
Na Yanga ilivyo maskini kumbe ana uwezo wa kuwapangia gheto mademu wa 4
 
Hii timu si ya Muungano? Ni kweli ligi zote za bara na visiwani wamekosa beki wa kulia? Waache uvivu wanapaswa kutafuta wachezaji, mbona wapo wengi tu!
Kipaji hakijifichi.. kama yupo atapata timu kubwa nakuonekana na kocha. Kazi ya kwenda mchangani siyo ya Etienne.
 
Kwa mabeki wa kulia waliopo sasa ukimtoa Kapombe nazani beki bora anaefuatia ni Juma Abdul. Hapo nyuma Zahera alimshusha kiwango kwa kumuweka bechi bila sababu.Kwa tulioangalia vzr mechi za Stars za hv karibuni uzoefu ni kitu muhimu sn. Juma ni mzoefu km Yondani na Elasto. J.Abdul anafaida kubwa awapo uwanjani km ifuatavyo:-

1. Anapiga krosi murua na zenye macho.
2.Anauwezo mzuri wa kumiliki mpira.
3.Uwezo mzuri wa kupiga faulo kutokea upande wa kulia.
4.Uwezo mzuri wa kupanda na kushuka
5.Anakaba kwa akili ndio maana ni mara chache kuona akipewa kadi za njano au nyekundu.
Hivyo wakati tukisubiri akina Kapombe na Boxer wapone hebu kwa ss twende na Juma nazani atatusaidia.
Labda aitwe twiga stars.
 
Tatizo ni uvivu wa makocha wa stars hivi Tanzanian nzima tumekosa beki namba mbili au kwa sababu wamekazania kutazama ligi kuu
Timu ya taifa unataka itengenezwe na wachezaji wa mchangani! Hao wakina Kapombe wamekomaa kwasababu ya kukutana na kina Bruce Kangwa na Molinga na kucheza mechi za kimataifa. Sasa mtu wa mchangani anakabana na ma dereva wa boda boda kwenye mechi za kujifurahisha then umkutanishe na Mo sallah! Kipaji peke yake hakitoshi, kipaji cha mchangani inabidi kichukuliwe na timu za ligi kuu. Kipate mikikimikiki ya kucheza mechi ngumu na zenye pressure ndiyo aitwe timu ya taifa.
 
Back
Top Bottom