dojonase
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 1,692
- 2,312
Uyu jamaa kuna bamedi moja iv ndio alikuwa anakula ata umsingizii mzeeJuma abduli alishakwisha siku nyingi ,
Alianza umalaya ,ana mke lakini ana wanawake kama wanne hivi kila mmoja kawapangia chumba kisirisiri, toka aanze hiyo michezo alishuka sana na kupotea