Ni wakati wa kupata Katiba Mpya itayolinda na kutetea maslahi ya Umma. Hajabagazwa Spika Ndugai bali Watanzania wamebagazwa

Ni wakati wa kupata Katiba Mpya itayolinda na kutetea maslahi ya Umma. Hajabagazwa Spika Ndugai bali Watanzania wamebagazwa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Bunge ni sauti ya wananchi, kama sauti ya wananchi kupitia spika wao inahoji juu ya mkopo ambao unakopwa kwa manufaa ya wachache wala sio wananchi alafu inabagazwa namna hii basi katiba yetu ina matatizo makubwa.

Tunahitaji katiba ambayo itaondoa madaraka makubwa ya rais kama mkuu wa Executive. Maana mihimili mingine ni kama ipoipo tu.

Tunahitaji katiba ambayo itamshughulikia mkuu wa executive branch ambae atawabagaza Watanzania kisa tu wamehoji mikopo ambayo ina ukakakasi huku wanatozwa tozo.
 
Na sisi wananchi hatusimami na suuupiiiikaaaaaa
 
Mama avunje bunge, apitishe mchujo wa tu, sukuma gang watamchelewesha
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kwa kweli ni ajabu sana. Hata kusema huko kwa kina Kassim; Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imekuwa kwa kina Kassim. Bunge likuwa referred kama Ruangwa vile!
Bunge halina tofauti na Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa.
 
Back
Top Bottom