Pre GE2025 Ni wakati wa Mabeyo (aliyekuwa Mkuu wa Majeshi) kutuomba radhi

Pre GE2025 Ni wakati wa Mabeyo (aliyekuwa Mkuu wa Majeshi) kutuomba radhi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Je Mabeho. Ambaye alikuwa Mkuu wa Majeshi hadhani huu ni wakati wake wa kutuomba msamaha?

Je bado anaamini yupo sahihi? Ni kwa nini sisi Tanzania ni Nadra sana kupata wakuu wa Jeshi Wazalendo? Je haoni huu ni wakati wake wa kutubu na kutuomba msamaha?
 
Je Mabeho. Ambaye alikuwa Mkuu wa Majeshi hadhani huu ni wakati wake wa kutuomba msamaha?

Je bado anaamini yupo sahihi? Ni kwa nini sisi Tanzania ni Nadra sana kupata wakuu wa Jeshi Wazalendo? Je haoni huu ni wakati wake wa kutubu na kutuomba msamaha?
Kama huwezi kufikiria jambo la maana unadhanai unaweza kujiandikia lolote basi ficha ujinga wako usije ukadharauliwa na jamii.
 
Nimemsikia anasema wamasai waondoke ngorongoro,

Hawa wakuu wa majeshi wastasfu wanateuliwa
kwenye board za mbuga za wanyama
Ili nao wale matunda ya mwarabu

Hi nchi hovyo sana, eti mkuu wa majeshi mstaafu anateuliwa mwenyekiti wa board ya mbuga, hii si ni rushwa??

Bila katiba kuondoa huu upuuzi tumekwisha
 
Nimemsikia anasema wamasai waondoke ngorongoro,

Hawa wakuu wa majeshi wastasfu wanateuliwa
kwenye board za mbuga za wanyama
Ili nao wale matunda ya mwarabu

Hi nchi hovyo sana, eti mkuu wa majeshi mstaafu anateuliwa mwenyekiti wa board ya mbuga, hii si ni rushwa??

Bila katiba kuondoa huu upuuzi tumekwisha
Safari Moja huanzisha nyingine. Kosa Moja huzaa mengine mengi. Ukiwa potential kwa umma na ukashindwa kuwa mwerevu, wapumbavu watakutumia mara kwa mara kuhalalisha Upumbavu wao kwa jina lako.
 
Back
Top Bottom