Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Huyu jamaa ni fundi wa mpira sana, ana ujuzi wote wa kucheza namba 10 yaani nyuma ya Straika. Ana piga pasi za mwisho, mwepesi, ananyumbulika na ni mtulivu hana papara na pia anarekodi nzuri ya kufunga magoli. Kuendelea kumcheza kwenye winga ya kulia ni kupoteza kipaji chake.
Wakati umefika sasa wa Mourinho kuachana na Pogba kama namba 10 na kuanza kumtumia ipasavyo Henrik Mkhytarian kama namba 10 kwa manufaa ya timu. Pogba arudi kwenye jukumu la Kiungo wa kati ambapo nguvu zake zitatumika vyema na sio namba 10 ambapo anaonekana wazi amekosa utulivu.
Kwa kumalizia:
Mou pia aache uoga wa kumuweka benchi Lingard. Dogo Lingard ana nini spesho cha kumuweka nje Martial? Ni wakati wa kumpa muda wa kutosha Martial nae aonyeshe uwezo wake.
Ni mtazamo tu.
Wakati umefika sasa wa Mourinho kuachana na Pogba kama namba 10 na kuanza kumtumia ipasavyo Henrik Mkhytarian kama namba 10 kwa manufaa ya timu. Pogba arudi kwenye jukumu la Kiungo wa kati ambapo nguvu zake zitatumika vyema na sio namba 10 ambapo anaonekana wazi amekosa utulivu.
Kwa kumalizia:
Mou pia aache uoga wa kumuweka benchi Lingard. Dogo Lingard ana nini spesho cha kumuweka nje Martial? Ni wakati wa kumpa muda wa kutosha Martial nae aonyeshe uwezo wake.
Ni mtazamo tu.