Uchaguzi 2020 Ni wakati wa wafanyabiashara na Wadau wa Sekta Binafsi kumwadhibu Rais Magufuli

Huyu dudumtu anayejiita jiwe atapigwa kotekote.......
Huku mkulima
Huku mwanafunzi
Huku mstaafu
Huku mfanyabiashara

Hayo makundi yote yana majeraha makubwa sana kwa miaka 5 ya kujimwambafy......

Yaani ni mtaa wa lumumba na chato tu ndio wapo wanaenjoy uchumi wa kati
 
Hopeless opinion
 
Walizoea kulipa kodi kiujanja ujanja, na hiyo ndo shida ya wafanya biashara wa Afrika, hata faida wanazopata za kifisadi huwa hawazitunzi kwa tahadhali mambo yakibadilika.
Watu wangapi wamepoteza ajira kwenye hizo kampuni? Tra wamekosa future earnings kiasi gani? Unit za umeme? Maji dawasco? Ununuzi wa mafuta? Hizo ni pesa direct ambazo serikali ingepata pamoja na indirect income.
 
Huyu mfanyabiashara wa Kariakoo ndo anasikitisha aisee. Rais wangu aingilie kati
 
Magufuli ni wa kupiga kufuli na spana juu!

We will shock the world if not him personally!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…