Someni Falsafa, Itikadi na Madumuni ya CHADEMA ndo mtaelewa.
Huwezi kukataza watu wanaotakiwa kujinga na chama cha siasa eti kwa hoja dhaifu za ufisadi ambao hata ukiambiwa uthibitishe huwezi ni ujinga.
Dr. Slaa sitaki kumzungumzia kwani askari aa kweli hupambambana akiwa ndani na si kutoka nje. Lakini pia huwezimfananisha na hao wanaohama na kwenda CCM ambako kimsingi ndiko kuliko na tatizo la kimfumo wa kiutawala.
Sikilizeni mwanachama yeyote wa chadema kama anamakosa anatakiwa kushikwa na kushitakiwa kama mhalifu mwingine, mleta hoja hebu nieleze ni mahakama ipi walipelekwa hao unaoita makapi, wahalifu, wachafu walipelekwa hata baada ya kupokelewa na chadema? Au serikali huwaogopa wakiingia Chadema? Kama siyo basi tuache kusema uongo na kuleta porojo hapa.
Kuhusu Mbowe, yule alichaguliwa na wanachama kwa mujibu wa katiba ya chadema na ubaya wa mwenyekiti huwezi kuonwa na kulazimishwa na Maccm, hivi nani mwenyekiti mbaya kati ya Magufuli wa CCM aliyebadili kifungu cha katiba kulazimisha kuwa mgombea wa bila kupingwa na yeyote na Mbowe wa CHADEMA?
Acheni unafiki tuwe tunasema ukweli. Maenyekiti aa ccm Magufuli wakati wa kutafuta wabunge wa EAC jina la Shairoz Banji alilitoa tena bila hata kujadili kwa kusema jina hili toa kabisa halipaswi hata kujadili Je hapo nani mwenyekiti wa hovyo kati ya Magufuli na Mbowe!?
Tujisahihishe, kwani mwanachama aa ccm si shetani kama mnavyotaka kutuaminisha.
ujinga ni kujua ujinga