Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

Mkuu ulegevu wa mpinzani wetu ni faida kwa nani vipi hatuna hoja nzuri iliyovaa nguo kwa ajili ya kutustiri ili kuonyesha jamii tuna watu wenye uwezo wa kuja na hoja fikirishi
 
Chadema ni kimbilio la wahalifu kutoka CCM
Chadema nawakubali kwa kuwahubiria wahalifu Wokovu ili kuwa watu wema. Na mtu akiipata hii Itikadi ya Wokovu hubadilika kabisa sasa sijui Sisi ni lini tutacopy hii Itikadi ya wapinzani wetu ili kuwabadilisha wezi tulionao kwani ni kazi sana kujipa usafi tuosiokuwa nao
 
CDM ina wenyewe, na wewe una li-ccm lako, jenga li-ccm lako ya kwetu tuachie hayakuhusu. slaa alikimbia akaja lowasa la tulifanya makubwa ktk uchaguzi kuliko huko nyuma pamoja na udhulumati mkubwa sana tuliofanyiwa.
 
CDM ina wenyewe, na wewe una li-ccm lako, jenga li-ccm lako ya kwetu tuachie hayakuhusu. slaa alikimbia akaja lowasa la tulifanya makubwa ktk uchaguzi kuliko huko nyuma pamoja na udhulumati mkubwa sana tuliofanyiwa.
Mku nasikia nimefungwa miguu, mikono na inaonekana haiwasaidii wameenda ktk daladala midomo nayo imewekewa kofuli kisa mlituhenyesha Sana 2015 sasa sijui kama hivi vyote kama vitatusaidia kwani hasira ni hasira tu kuikabili ni ngumu hasa inayoishi rohoni
 
Mr Meningitis,yaani umesema yote lakini kuna watu wanaakili za kishikiwa,hata usema nini wao hawatofautishi kati ya maziwa na maji.haiwezekani ukaita sumu ikiwa kwangu na ikija kwako unaita dawa.Mbowe na uchaga ndiyo tatizo kwa chadema.
 
Chama kimeshika majiji yote chini ya mbowe kwako ww mafanikio ni nini?mtu yeyote anaye kubali kununuliwa hulaaniwa fuatilia historia ya yuda escaliuti
Mkuu imani hiyo ndio inayodhoofisha chama, chadema imeshinda kwa ushabiki wa kuiondoa CCM madarakani na wengi wao wala hawajui chadema ikiingia madarakani itawafanyia nini wanachama na watanzania kwa ujumla, CDM kaondoka nayo Dr. Slaa hawa waliobaki makapi yanayopokea makapi, tusiweke ushabiki kwa hili itafika wakati kila mwenye kujitambua atatoka CDM hata hawa wanahamia kwa vishindo
 
Ukisema utaitwa mwanaCCM...HATUWEZI KUWA NA TANZANIA MPYA CHINI YA MAKAPI YA ZAMANI KUTOKA CCM NDANI YA CHADEMA
Kwani huyo Slaa alitokea wapi? Huko nyuma kabla ya 1992, wote tulokuwepo tulikuwa chama kimoja CCM. Kwa taarifa tu Slaa nae alihama CCM baada ya jina lake kukatwa pamoja na kushinda kura za maoni wakati akiwania ubunge.
 
Nionyeshe mwanachadema mmoja hata yule ambaye ana JINA LA UONGO HUMU anayemkosoa Mbowe!!
Mbowe noma, bedui, hana mchezo ni rahisi sana kwa Lissu kumkosoa kwa maneno ya kuudhi Magufuli ila sio kwa mbowe!! mbowe hatishii anakupoteza tu!! Mbowe ni mafia, mugabe wa chama, museven wa chadema, kagame wa bavicha! Mbowe noma....na ukileta mchezo ukijitoa anasema HAUKUWA NA FAIDA kwake!

Hakuna mwanachadema yeyote ambaye yuko salama, ana uhuru wa mawazo, anaweza kwenda kinyume na Mbowe..Mbowe ni Mungu mtu, wanachama wa chadema wangekuwa wahindi kila mmoja angekuwa na sanamu ya mbowe nyumbani kwao na kuiamkia kila siku asubuhi!! Mbowe abaki tu kuwa mwenyekiti milele...siku akiwa Rais wa nchi basi ana uwezo wa kuchagua mke wa Lema Leo, kesho msigwa na keshokutwa wa Nassari, na wa Lissu weekend-hawatasema kitu!! waje hapa wakatae. Infact mutu yule weka mbali na mkeo....

Unamjua mbowe au unamsikia!! ukijifanya mjanja tu unakuwa msaliti wewe!! mara umenunuliwa na chama!! the guy is smarter! mfanyabiashara wa akili za watu...ananunua mpaka hisia na kulenga palepale ambapo mtakubaliana nae tu!

Kuna makundi makubwa matatu yanayokula hela kwa kirahisi hapa nchini.

1. Waganga wa kienyeji kwa kuwaambia watu watawatatulia shida zao za uzazi, kiroho, bahati n.k
2. Wachungaji feki wanaoombea watu kwa hela na kufanya vitu vya aibu
3. wanasiasa feki ambao wanasema kila siku wataiondoa CCM kwa tume huru ya uchaguzi ile ile!!, wanapandikiza chuki za watu kuichukia serikali na viongozi wao na wao sio sehemu ya mabadiliko wala maisha bora ya wananchi, wasio na njia mbadala wa kuonyesha wao watafanyaje tofauti na CCM!!-Mbowe yuko hapa
 
Haikuwahi kufanya uchaguzi lakini ni bora wanaopokeana kijiti wanakuja na upeo na uwezo tofauti kuliko aliyekaa madarakani na kujimilikisha chama cha wananchi.
Wandiooo...oo mwajivunia ni huko.
 
CDM sasa kimekuwa ni GENGE la wala rushwa, wezi na vibaraka wa mabeberu.
Walowaleta hao mabeberu ni nyie wenyewe, mkawagawia migodi kwa mikataba ya siri na miswada ya dharura ili kuwawekea 'mazingira mazuri'. Mpaka sasa ugomvi wenu ni siri yenu. Ndo maana mnakaa vikao vya siri zaidi ya miezi mitatu mnarudi na maneno mengi lakini TUPU.
 
Haikuwahi kufanya uchaguzi lakini ni bora wanaopokeana kijiti wanakuja na upeo na uwezo tofauti kuliko aliyekaa madarakani na kujimilikisha chama cha wananchi.
Unadhani hiyo ndo democracy ndani ya chama chenu???.
 
Back
Top Bottom