Awachane na uenyekiti apishe wengine, kwani chadema yupo yeye tu?Ina maana hawakoseani, mbona wahajafukuzana? Acha matamshi ya hvyo! Kama kuna wakati Mbowe anahitajika ni sasa. Risasi , mabomu, jela kesi kibao buila uongozi imara, CDM itasambaratika.
Kama umetumwa, kafie kaburini
Akiwa si mwenyekiti uhitajika wake unakua umekoma?