Lobapula
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 2,389
- 1,584
Swali zuri sana mkuuKwani ni lazima awe mwanachama wa chadema ndo aweze kuchambua masuala ya chadema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri sana mkuuKwani ni lazima awe mwanachama wa chadema ndo aweze kuchambua masuala ya chadema?
Kuelewa kitu gani ilhali nia yako iko wazi Mkuu?Soma uelewe
Kama wewe sio mwanachama wa hicho chama unapata shida gani kwa Mbowe kuwa mwnykt kwa muda mrefu?Kwani ni lazima awe mwanachama wa chadema ndo aweze kuchambua masuala ya chadema?
Kajadili ya nchi, ya chadema waachie wenyewe.Uchadema wangu au u UPDP Wang wewe unautaka ukatambike? Soma na jibu hoja
Umetumwa wewe!weka poll tupige kura wangapi wanataka mwenyekit mwingine chadema.afu ita lumumba wenzako wote na nyie mpige kura tuone.Awachane na uenyekiti apishe wengine, kwani chadema yupo yeye tu?
Akiwa si mwenyekiti uhitajika wake unakua umekoma?
Kiukweli bila kipepesa chadema hamna kitu
Hata Mugabe hivo hivo alikua kiboko ya mataifa ya magharibi Mkuu leo yuko wap?Mbowe ndiyo dawa yenu! Yule ni chuma cha pua, nyinyi pambaneni na sizo na propesa lipumbavu!
Wanaotoa ruzuku ni serikali, kama chadema hawajakidhi vigezo wasipewe ruzuku.Mkuu CHADEMA kina endeshwa kwa ruzuku kutoka serikalini ambayo ni kodi ya watanzania wote ingekua inaendeshwa kwa pesa ya Mbowe ningekaa kimya ruzuku ni pesa ya watanzania wote
duh umelewa viroba wewe kilichomtoa Mugabe ni kung'ang'ania madarakani kama Mbowe ni vema ukaliweka kichwani hio, mshaulini mbowe kwamba chama kina vijana wanauwezo wa kumpokea vijiti aache urohoMugabe na Ccm hawana tofauti ni ndugu na dada
CHADEMA inapewa ruzuku na serikali ambayo ni kodi yangu pia so shut upKajadili ya nchi, ya chadema waachie wenyewe.
Kumbe umemaanisha tofauti au? Nithibitishie hilo kwanza!!Uchadema wangu au u UPDP Wang wewe unautaka ukatambike? Soma na jibu hoja
Tatizo hamjioni... Na huyo Mugabe si ni juzi mmefurahia kafaninishwa na Magu,,,?Hata Mugabe hivo hivo alikua kiboko ya mataifa ya magharibi Mkuu leo yuko wap?
Akili kubwa aliyonayo na ktk vyama vyote hakuna anayemfikia na ukiangalia wabunge aliowapata kwa muda mfupi na kuendana na umri wake ni siśi tuopoteza Majimbo na kukubalika kwa chama nchi nzima Lazima tutafute namna ya kuchagua.WADAU CCM kupitia UVCCM wanahangaika sana kujifanya ni Bavicha eti hawamtaki Mh.Feeeman MBOWE kuwa Mwenyekiti Wa Chadema.Najiuliza ni kwanini CCM haimtaki Mh.Mbowe? Ana madhara gani kwao?
CCM imejifunza kuwa ukomo wa muda wa madaraka kwa vipindi maalum nila msingi sana vp Mbowe kajifunza nn kwa mugabe ambae hakukua na ukomo wa kugombea kama ilivyo chadema?CCM imejifunza nini?
Lini na wapi?Tatizo hamjioni... Na huyo Mugabe si ni juzi mmefurahia kafaninishwa na Magu,,,?