Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini msifurahie kama kinaanguka, si ndio mtabaki peke yenu. Wanafki wakubwa nyie, mfuatenj Slaa si anauza super market!!Wito huu kwa Mbowe ni wa siku nyingi...namfananisha na Mugabe.
Mbowe hana sababu mpya ya kusingizia hili anguko na aibu ya Chadema.
Kiukweli bila kipepesa chadema hamna kituSlaa alikuwa vizuri tatizo ni shuntamà yà lile pashkuna la kihaya, na kwa vile Dr. machejo aliyajulia uzeeni kazi ilikuwa rahisi.
Na mugabe wa chadema ni nani?CCM ndiyo Mugabe wa Tanzania!! hii kansa ndiyo ya kuondolewa na jeshi kwa nguvu.
Mh akimuondoa maza kwa mshua ww ndo utachukua nafasi ya maza?Ni sawa, hata Mother ameshika madaraka mda mrefu, kwa nini usianze pambana naye huyo? umuondoe kwa mshua?
Ina maana hawakoseani, mbona wahajafukuzana? Acha matamshi ya hvyo! Kama kuna wakati Mbowe anahitajika ni sasa. Risasi , mabomu, jela kesi kibao buila uongozi imara, CDM itasambaratika.Huu unyumbu sasa!
Ile ndoa yao mpaka kifo kitapo watenganisha, inamaana Mbowe kafunga ndoa na machadema?
Hata wanajeshi zimbambwe walikua wanaambiwa wanamuogopa sana MugabeHivi kwa nini maccm mnamuogopa sana Mbowe?
Dikteta wote ni wakuogopwa!Hivi kwa nini maccm mnamuogopa sana Mbowe?
Tuanzie chamani, hili tukiondoa ccm tujue wanaochukua nchi si madikteta tenaKhaa.. Umeamua kugeuza, badala ya jeshi liondoe masisiemu na msizonje waongo, wee unahangaika na chama pinzani!
Pole!