Kushika majiji yote ilikuwa ni "pi" kwa kuwa kazi kubwa sana ilifanywa na Slaa na wanachadema asilia.2015 ilikuwa ni zaidi ya majiji kama ushauri wa Slaa ungefuatwa.
Opportunity iliyopotea 2015 inabadilika na kuwa kaburi la Chadema.
Rudisheni kwanza kura Mlizoiba then ndiyo muanze zungumzia anguko la CHADEMA...........