Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anamuogopa mwenzie kati ya uliowataja?Kwa nini chadema inamuogopa JPM?
Ni kada mtiifu na mkongwe wa ChademaWewe ni mwanachama wa CHADEMA?
Hembu na nyie siku fanyeni kama maigizo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA ndio mtajua DJ ana sura ngap!Hayo ni maigizo ya uchaguzi.
Nyie ndio wale mlioingia Chadema na gari la mabadiliko?
unashangaa nini kule kote watu wanapojielewa wameshika chadema ccm ipo kule kwenye wapumbavu in mkapa voice ambapo kama hawakununuliwa waliibiwa kura...................................Eti kimeshika majiji, majiji? [emoji23][emoji23][emoji23]
Jaribu kufikiri kwa kutumia ubongo sometimes, can you deceive anyone with your rubbish?Kushika majiji yote ilikuwa ni "pi" kwa kuwa kazi kubwa sana ilifanywa na Slaa na wanachadema asilia.2015 ilikuwa ni zaidi ya majiji kama ushauri wa Slaa ungefuatwa.
Opportunity iliyopotea 2015 inabadilika na kuwa kaburi la Chadema.
Je, mliishafanya upempuzi yakinifu juu ya hali ambavyo ingekuwa kama msingesimamisha mgombea makapi ya CCM? Je, mnakumbuka kashi kashi za Mrema na Mkapa 1995? 2000 ilikuwaje? Subiri 2020!Chama cha Siasa ni SERA na sio Dr Slaa wee kiazi..., chama cha siasa kinapata nguvu toka kwa WANACHAMA wake... Rejea KURA tulizozoa 2015...
Hizi ndizo zinazowafanya msilale usingizi...
Mfuate Slaa Canada ukawe mke wa pili..
Acha waendele kujichanganya CDM ya Mbowe inawatoa jasho.Mtachonga sana Lakini hata uchaguzi ukapitishwa saa hii Mbowe anapita kwa asilimia zote. kama ina kuuma sana meza wembe
Kama kaondoka nayo Dr Slaa mbona Baba J anahangaika na kuzuia mikutano ya vyama vya siasa.Mkuu imani hiyo ndio inayodhoofisha chama, chadema imeshinda kwa ushabiki wa kuiondoa CCM madarakani na wengi wao wala hawajui chadema ikiingia madarakani itawafanyia nini wanachama na watanzania kwa ujumla, CDM kaondoka nayo Dr. Slaa hawa waliobaki makapi yanayopokea makapi, tusiweke ushabiki kwa hili itafika wakati kila mwenye kujitambua atatoka CDM hata hawa wanahamia kwa vishindo
Yaonekana wanamwonea huruma. Mliishamlipia nyumba aloingizwa mjini na Jose sasa cha kumsaidia, SI mumtafutie nafasi huko. Awe msaidizi wa Mpolampola au mpelekeni idara ya Tambwe Hiza. Kumrudisha kama Propesa Lipumba, kwa CDM haitowezekana.MZEE WA WATU ANASAFISHA MATUNDA SUPERMARKET HUKO CANADA NYIE MNAMJADILI WAKATI ANAPAMBANA NA HALI YAKE NA MSHUMBUSH