Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani wataelewa vyema mnotulionya tangu mapema kwamba ujio wa Lowasa na wenzake kutomka ccm tena walitoka baada ya kukatwa ccm, lilikuwa ni kaburi la chadema. ukweli na uongo huwa havikai pamoja. Mbowe huu ni muda muafaka wa kujiuzuru uenyekiti na kumuomba radhi dk Slaa.
Ninaweza kuwafaa sanatatizo ndio liko hapo mnapojidanganya..so utanaka Mbowe ajiuzulu..Tukupe wewe uenyekiti?
Kwani nani wa kumtisha lowassa hapo Chadema?Hata lowassa naamin anatamani kuhama,lakini anogopa uso wake atauweka wapi
Wewe huna unachokijua una ropoka tuchadema wako makini wanajua kinachoendelea bado muda utasema tutawavua nguo na kitakachotokea ccm haitasahau milele!
wataelewa vizuri sasaMr Meningitis,yaani umesema yote lakini kuna watu wanaakili za kishikiwa,hata usema nini wao hawatofautishi kati ya maziwa na maji.haiwezekani ukaita sumu ikiwa kwangu na ikija kwako unaita dawa.Mbowe na uchaga ndiyo tatizo kwa chadema.
Chadema imefunzwa nini na CCM?CCM imejifunza nini?
Sasa ni zamu yako kutumia frontal lobe kufikiri na sio brain stemJaribu kufikiri kwa kutumia ubongo sometimes, can you deceive anyone with your rubbish?
hujajibu swaliChadema imefunzwa nini na CCM?
Swali linajijibuhujajibu swali