Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

ccm achaneni na mambo ya Chadema, tunajua Dr. Slaa yuko kwenye payroll yenu kama Chadema inaharibikiwa si ndiyo furaha kwenu? pambaneni na ya kwenu.
Mkuu majibu yako ni mepesi mnoo kulinganisha na hoja ya mleta Uzi, kauli yako haina manufaa yoyote katika cdm, kwanini usijibu "constructively "?
 
Wanashindana na facts. Its simple Dr Slaa alikuwa sahihi na Mbowe hakuwa sahihi. Tukubali na kujisahihisha badala ya kupeana moyo kirahisi!
 
Upumbavu ni ugonjwa hatari sana,toka lini limwana ccm likatoa ushauri mzuri kwa upinzani?
 
Kwanza Luwasa ni asset kwa chama..akitoka ujue na chama kitakufa..kazi ya Mbowe ni kumlinda asichomoke..kwanza kampa hifadhi ya makazi katika moja ya nyumba zake..tunajua
 
Kwanza ungetueleza, how you, as an individual, would benefit with Mr. Mbowe's resignation.

Mbowe maamuzi aliyofanya 2015 yalitufanya wengi wetu tuitafakiri siasa ya nchi yetu ipoje!..Nilikua kati ya watu tulojitolea sana kwenye harakati za m4c iringa!
Pili, una-comment nini kwa wana Chadema au wapinzani wanaovihama vyama vyao na kujiunga na ccm.
same as nitakacho comment kwa wana CCM wanaohamia chadema its a selfish motive!
Tatu, je m- ccm akihamia say Chadema na huku akiwa na tuhuma za ufisadi ambazo serikali imeshindwa kuzithibitisha je Chadema wamhukumu tu wao bila mahakama kuhusishwa?
Toa ushabiki wa kisiasa, Lowassa alikua namba 1 list of shame mlioipresent nyie wenyewe chadema, so mlimhukumu na kuihubiri Tanzania nzima hii list!.

Nne, nini maoni yako kwani hata wakuu wa chi hii nao hawako salama saaana kwani nao wana hizo tuhuma, unafikiri kwa maoni yako nini kifanywe? Please tell us.
Societal Education!
 
Naona umechanganyikiwa sasa. Mbowe akiondoka ndio mtaingia Ikulu?.

Huyo Slaa unayemsemea Kua alikataa wana CCM, si amejiunga na hao CCM. tena wala haitaji kukabidhiwa Kadi ya CCM, wakati alishakua Nayo akiwa anahudumu cdm?na akikataa kuirudisha
.
 
HUU NI WIMBO WA KATIKATI WAKATI TUKIENDELEA KUSUBIRI SOMO LA PIL
 
Mbowe ndo kiboko ya Maccm,.angekuwa mwingine angesharubuniwa kama hawa machumia tumbo tunayo yaona yana hama hama....Tume shuhudia Dr slaa, Lipumba na wengine wakirubuniwa na ccm kisha kusaliti na kuuza utu wao....ila Mbowe miaka nenda rudi kasimama imara...Mbowe Na azidi kuwa mwenyekiti tu.
 
Failure ndio zinazomtaka aondoke kwenye kiti...sio mwanaccm
anavofeli sizonje kutuletea vivuko alafu anavificha uwani hii huoni..
tutavifukua huko vilikofichwa na mashataka yanamhusu[emoji83] [emoji61]
 
Mbowe ndo kiboko ya Maccm,.angekuwa mwingine angesharubuniwa kama hawa machumia tumbo tunayo yaona yana hama hama....Tume shuhudia Dr slaa, Lipumba na wengine wakirubuniwa na ccm kisha kusaliti na kuuza utu wao....ila Mbowe miaka nenda rudi kasimama imara...Mbowe Na azidi kuwa mwenyekiti tu.

Hapa kuna wanafunzi wa kata wengi sana. Eti kiboko
 
Mbowe ndo kiboko ya Maccm,.angekuwa mwingine angesharubuniwa kama hawa machumia tumbo tunayo yaona yana hama hama....Tume shuhudia Dr slaa, Lipumba na wengine wakirubuniwa na ccm kisha kusaliti na kuuza utu wao....ila Mbowe miaka nenda rudi kasimama imara...Mbowe Na azidi kuwa mwenyekiti tu.
Pamoja na kwamba mmempa uenyekiti wa kudumu, ni bora pia kuwa na mpango wa pili (Plan B) kwani na yeye ni binadamu! Aidha, kwa mkatadha huu, sioni ni kwa nini, kwa mfano, wana CDM hucharuka pale wanaposikia mapandekezo ya kumtaka raisi Maghufuli aongezewe muda hata baada ya miaka yake kumi (ambayo ni dhahiri), kumalizika!
 
Pamoja na kwamba mmempa uenyekiti wa kudumu, ni bora pia kuwa na mpango wa pili (Plan B) kwani na yeye ni binadamu! Aidha, kwa mkatadha huu, sioni ni kwa nini, kwa mfano, wana CDM hucharuka pale wanaposikia mapandekezo ya kumtaka raisi Maghufuli aongezewe muda hata baada ya miaka yake kumi (ambayo ni dhahiri), kumalizika!
He must go
 
Pamoja na mapungufu ya Mbowe, Slaa is worse. Mtu ambaye alinunulika cheaply anapooneka ni mtu wa maana, it makes me feel like vomiting.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom