Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mna akili kama za DJ wenu hamjui Ku argue! Ndio maana ukiona comments nyingi za ufipa ni za kukejeli na panic, hii haijengi wala haisaidii zaidi mnaendelea kuonekana malofa tu.
Lolote zuri kutoka kwetu... Unayejiita mwanaCCMAkili kubwa aliyonayo na ktk vyama vyote hakuna anayemfikia na ukiangalia wabunge aliowapata kwa muda mfupi na kuendana na umri wake ni siśi tuopoteza Majimbo na kukubalika kwa chama nchi nzima Lazima tutafute namna ya kuchagua.
Lakini ndo hivyo chadema imepokelewa na mikono miwili na Watanzani kwa ajili ya Mbowe kwa hiyo usitegemee lolote zuri kutoka kwetu
Mku Mimi ni mmoja wa mwanachama asiyependa kudanganya uongo kuwa ukweli Mbowe amejitahidi kusimamia tasisi mpaka ikafika ilipoilipo ndo maana tunaiongelea.Lolote zuri kutoka kwetu... Unayejiita mwanaCCM
CCM haijawahi kushinda uchaguzi mda wote wanafanya uchakachuaji tu bila wizi wa kura CCM ni chaliKama kaondoka nayo Dr Slaa mbona Baba J anahangaika na kuzuia mikutano ya vyama vya siasa.
Kwani CCM kuna wafanyakazi wa bure? Lipumba na Maliyamungu Bashite wanafanya kazi za bure? January makamba na kamati zake za uchakachuaji ni bure? Huko CCM ndipo kuna mchwa wa kutafuna pesa za Umma.Nyalandu akishawapa fesha na net work ya wazungu ndio mwisho wake wa.kupendwa chadema haijawahi kumpenda mtu hivi hivi au uwe na fedha au uwe una mpelekea mkubwa madem
Malofa ni CCM kwani ni point gani imetoka kwa mwana CCM? Zaidi ya kukariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM ambaye kapiga marufuku mikutano ya upinzaniTatizo mna akili kama za DJ wenu hamjui Ku argue! Ndio maana ukiona comments nyingi za ufipa ni za kukejeli na panic, hii haijengi wala haisaidii zaidi mnaendelea kuonekana malofa tu.
Mwenyekiti wa CCM ana phd feki mshauri wake Mkuu Maliyamungu Bashite hana vyeti na nyie wapambe wa Le mutuz Akili zenu kama Le mutuz unategemea nini?Usipanic kijana wa DJ relax.
DJ si kitu kibaya maana ww kwa ujinga wako unadhani u-DJ ni kitu kibaya bora kuwa DJ mara 1000 kuliko kuwa na PhD feki na kutokuwa na vyeti kama Maliyamungu Bashite au Boss wako Le mutuz kubwa jinga kula kulala lina miaka 56 halina mtoto wa mke linakaa kwa wazaziHembu na nyie siku fanyeni kama maigizo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA ndio mtajua DJ ana sura ngap!
Mwambieni babu mihogo arejeshe zile dola milion 2 alizopewa na CCM.Ila hata mimi ingawa Dr. Slaa alizingua lakini ufike wakati Mbowe akubali kuachia Chama
Kwa mbowe??CCM imejifunza nini?
kwa mugabeKwa mbowe??
Hivi mbowe hata diploma fake anayo kweli ni bora mwenye PhD fake atakua amepitia stages mbalimbali za kujifunza.Mwenyekiti wa CCM ana phd feki mshauri wake Mkuu Maliyamungu Bashite hana vyeti na nyie wapambe wa Le mutuz Akili zenu kama Le mutuz unategemea nini?
Msiwe na akili za kushikiwa vijana wa ufipa,DJ si kitu kibaya maana ww kwa ujinga wako unadhani u-DJ ni kitu kibaya bora kuwa DJ mara 1000 kuliko kuwa na PhD feki na kutokuwa na vyeti kama Maliyamungu Bashite au Boss wako Le mutuz kubwa jinga kula kulala lina miaka 56 halina mtoto wa mke linakaa kwa wazazi