Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

CCM kama mpinzani mkuu wa CDM kwa isiwe furaha kwenu kupoteza mwelekeo kwa mbowe kuliko kumtaka ajiuzuru?
 
Tatizo mna akili kama za DJ wenu hamjui Ku argue! Ndio maana ukiona comments nyingi za ufipa ni za kukejeli na panic, hii haijengi wala haisaidii zaidi mnaendelea kuonekana malofa tu.

Wewe mwenyewe unajua ku-argue? Kichwa chako kimejaa funza tu. Utabakia kuwa msafisha vyoo wanavyotumia akina slow slow hapo lumumba.
 
Nyalandu akishawapa fesha na net work ya wazungu ndio mwisho wake wa.kupendwa chadema haijawahi kumpenda mtu hivi hivi au uwe na fedha au uwe una mpelekea mkubwa madem
 
Gullam,
Mkuu, ungechanganya na zako angalau kidogo usingenijibu hivyo ulivyonijibu.

1. Mimi sikuanzisha hii mada, nimechsngia tu!

2. Unadhani kwa kuandika matusi na kejeli ndo inakufunya uonekane una akili zaidi?

3. Kwanini usijibu hoja kwa hoja badala ya kujibu hoja kwa matusi na kejeli?

4. Wafuasi wa [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] mnaongoza sasa hivi hapa jukwaani kwa mitusi. Ile chadema ya hoja is dead, mmebaki hopeless watukanaji tu.

ZA KUAMBIWA, CHANGANYA NA ZAKO.
 
Akili kubwa aliyonayo na ktk vyama vyote hakuna anayemfikia na ukiangalia wabunge aliowapata kwa muda mfupi na kuendana na umri wake ni siśi tuopoteza Majimbo na kukubalika kwa chama nchi nzima Lazima tutafute namna ya kuchagua.
Lakini ndo hivyo chadema imepokelewa na mikono miwili na Watanzani kwa ajili ya Mbowe kwa hiyo usitegemee lolote zuri kutoka kwetu
Lolote zuri kutoka kwetu... Unayejiita mwanaCCM
 
Lolote zuri kutoka kwetu... Unayejiita mwanaCCM
Mku Mimi ni mmoja wa mwanachama asiyependa kudanganya uongo kuwa ukweli Mbowe amejitahidi kusimamia tasisi mpaka ikafika ilipoilipo ndo maana tunaiongelea.

Shida ya chama changu Viongozi wanapenda kusifiwa pasipo mazuri wanayoyafanya mtu husifiwa kwa matendo na upendo sio jeuri.
 
Peleka Ujinga wako huko kwa washamba wenzako hivi unawaonaje watanzania? Umewaona ni washamba kama wewe? Watanzania wenye Akili kuliko wewe kilaza wanajua DR slaa alinunuliwa na CCM kwa Dola milion 2 akatorokea Canada hajamkimbia mtu wala nini kwani mipango ya kuwakaribisha Wageni ilipangwa na kuratibiwa na yeye.
 
Nyalandu akishawapa fesha na net work ya wazungu ndio mwisho wake wa.kupendwa chadema haijawahi kumpenda mtu hivi hivi au uwe na fedha au uwe una mpelekea mkubwa madem
Kwani CCM kuna wafanyakazi wa bure? Lipumba na Maliyamungu Bashite wanafanya kazi za bure? January makamba na kamati zake za uchakachuaji ni bure? Huko CCM ndipo kuna mchwa wa kutafuna pesa za Umma.
 
Tatizo mna akili kama za DJ wenu hamjui Ku argue! Ndio maana ukiona comments nyingi za ufipa ni za kukejeli na panic, hii haijengi wala haisaidii zaidi mnaendelea kuonekana malofa tu.
Malofa ni CCM kwani ni point gani imetoka kwa mwana CCM? Zaidi ya kukariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM ambaye kapiga marufuku mikutano ya upinzani
 
Usipanic kijana wa DJ relax.
Mwenyekiti wa CCM ana phd feki mshauri wake Mkuu Maliyamungu Bashite hana vyeti na nyie wapambe wa Le mutuz Akili zenu kama Le mutuz unategemea nini?
 
Hembu na nyie siku fanyeni kama maigizo ya uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA ndio mtajua DJ ana sura ngap!
DJ si kitu kibaya maana ww kwa ujinga wako unadhani u-DJ ni kitu kibaya bora kuwa DJ mara 1000 kuliko kuwa na PhD feki na kutokuwa na vyeti kama Maliyamungu Bashite au Boss wako Le mutuz kubwa jinga kula kulala lina miaka 56 halina mtoto wa mke linakaa kwa wazazi
 
Hata kama ni super market, Dr Slaa ni shopkeeper tu kama mashopkeeper wengine wa hapa bonge, tofaudi yeye yuko Canada!! Achana na habari ya muuza duka!
 
Mwenyekiti wa CCM ana phd feki mshauri wake Mkuu Maliyamungu Bashite hana vyeti na nyie wapambe wa Le mutuz Akili zenu kama Le mutuz unategemea nini?
Hivi mbowe hata diploma fake anayo kweli ni bora mwenye PhD fake atakua amepitia stages mbalimbali za kujifunza.
Akili ya kubadilisha gia angani na kuwatakasa mafisadi ni ya kuogopwa kama ukoma.
 
DJ si kitu kibaya maana ww kwa ujinga wako unadhani u-DJ ni kitu kibaya bora kuwa DJ mara 1000 kuliko kuwa na PhD feki na kutokuwa na vyeti kama Maliyamungu Bashite au Boss wako Le mutuz kubwa jinga kula kulala lina miaka 56 halina mtoto wa mke linakaa kwa wazazi
Msiwe na akili za kushikiwa vijana wa ufipa,
PhD fake ni bora mara mia.
sasa kamuulize mbowe kama hata ana diploma certificate...CHADEMA nyie kama dustbin la takataka za ccm tu, hamchagui nyie mnapokea tu.
 
Back
Top Bottom