Ni wakati wa Wanyarwanda kurudi nyumbani

Ni wakati wa Wanyarwanda kurudi nyumbani

Nelson Jacob Kagame

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2022
Posts
9,576
Reaction score
13,545
Kumekuwepo na kelele nyingi kuhusu dissapora wa Kinyarwanda waliopo ugenini, kwamba kila Mnyarwanda ambae yupo ugenini au kwenye kambi za wakimbizi ni intarehamwe.

Hizi ni jitihada za makusudi za kuzuia vizazi vya Wanyarwanda waliozaliwa ugenini wasidai haki yao ya kurudi nyumbani.

Nakumbuka mwaka 1986 kwenye mkutano mkuu wa chama tawala MRND chini ya Kanali Habriymana pale Kigali alisema Wanyarwanda waliopo ugenini kama dissapora au wakimbizi hawana haki ya kurudi nyumbani kama wanaweza watumie nguvu, ila kilichotokea miaka saba mbele kila mtu anajua.

Sasa hiki kitu kinajirudia tena chini ya kiongozi wa sasa wa Rwanda General Kagame, yeye anasema kila mtu anaempinga ni Intarehamwe na hana haki ya kurudi Rwanda sababu amejigeuza kua Rais wa maisha na hana tofauti na Kanali Habriymana enzi za utawala wake.

Sasa imefikia wakati Wanyarwanda kuamua wanarudi kwa njia ipi, sababu serikali ya Rwanda haitaki majadiliano ya kujadili suala la wakimbizi na sababu kubwa ikiwaita wakimbizi wote kuwa ni wafuasi wa Intarehamwe na MRND na RDM na ni mabaki ya RDF ambao ni wapinzani wa jadi wa RPF.

Sisi kama raia wa nchi jirani za Congo DRC, Kenya, Tanzania, Burundi na Uganda, tumechoka kukaa na wajukuu na vitukuu vya wakimbizi wa tokea 1993 mpaka leo. Lazima ifikie tamati wakimbizi warudi kwao kwa njia yoyote ile, sababu ni haki yao kurudi nyumbani na hakuna wa kuwazuia au kuwafanyia hisani.

Serikali ya RPF iwe tayari kwa hilo na isiogope kukabiliana tena na kizazi kipya cha RDF sababu unapochukuwa madaraka kwa mtutu wa bunduki usiogope kukabiliana tena na mtutu wa bunduki.
 
Huyu Jamaa anashida sana na Rwanda, hivi hujui kuwa Rwanda kwa mujibu wa sheria za kimataifa haina mkimbizi nje ya nchi? Walioko huko wote ni kwa hiari yao, wako huru kurudi kwao kama wanapenda. 😜 Karagabaho.🥵
 
Huyu Jamaa anashida sana na Rwanda, hivi hujui kuwa Rwanda kwa mujibu wa sheria za kimataifa haina mkimbizi nje ya nchi? Walioko huko wote ni kwa hiari yao, wako huru kurudi kwao kama wanapenda. 😜 Karagabaho.🥵
Mkuu acha siasa za RPF,kwa akili yako unadhani wakimbizi wote waliopo nje ya rwanda wapo kwa hiari yao???? Tofautisha siasa za kwenye mitandao,siasa za wazungu na uhalisia halisi aridhini mkuu.I thnk you know nothing about rwandese situation,s.
 
Mkuu umeongea pointi nikupe mkono wa kongore.
Nashukuru
JamiiForums-661793165.jpg
 
Mkuu acha siasa za RPF,kwa akili yako unadhani wakimbizi wote waliopo nje ya rwanda wapo kwa hiari yao???? Tofautisha siasa za kwenye mitandao,siasa za wazungu na uhalisia halisi aridhini mkuu.I thnk you know nothing about rwandese situation,s.
Tangu mwaka 1994 mpaka sasa bado kuna Wanyarwanda wengi wapo nje ya nchi yao kwa sababu mbalimbali.......niliwahi kusoma sehemu kuna vyama kadhaa vyenye mrengo wa kuipinga Rpf vimeundwa na Wanyarwanda walioko nje ya nchi yao ila lazima mwishowe warejee kwao tu kama wana ndoto za kufanya shughuli za siasa.
 
Tangu mwaka 1994 mpaka sasa bado kuna Wanyarwanda wengi wapo nje ya nchi yao kwa sababu mbalimbali.......niliwahi kusoma sehemu kuna vyama kadhaa vyenye mrengo wa kuipinga Rpf vimeundwa na Wanyarwanda walioko nje ya nchi yao ila lazima mwishowe warejee kwao tu kama wana ndoto za kufanya shughuli za siasa.
Upo sahii mkuu na ndicho nachokizungumzia.Lazima wanyarwanda wote warejee kwao Rwanda,na hilo litapunguza vurugu mashariki mwa DRC pia.
 
Kumekuwepo na kelele nyingi kuhusu dissapora wa Kinyarwanda waliopo ugenini, kwamba kila Mnyarwanda ambae yupo ugenini au kwenye kambi za wakimbizi ni intarehamwe.

Hizi ni jitihada za makusudi za kuzuia vizazi vya Wanyarwanda waliozaliwa ugenini wasidai haki yao ya kurudi nyumbani.

Nakumbuka mwaka 1986 kwenye mkutano mkuu wa chama tawala MRND chini ya Kanali Habriymana pale Kigali alisema Wanyarwanda waliopo ugenini kama dissapora au wakimbizi hawana haki ya kurudi nyumbani kama wanaweza watumie nguvu, ila kilichotokea miaka saba mbele kila mtu anajua.

Sasa hiki kitu kinajirudia tena chini ya kiongozi wa sasa wa Rwanda General Kagame, yeye anasema kila mtu anaempinga ni Intarehamwe na hana haki ya kurudi Rwanda sababu amejigeuza kuia Rais wa maisha na hana tofauti na Kanali Habriymana enzi za utawala wake.

Sasa imefikia wakati Wanyarwanda kuamua wanarudi kwa njia ipi, sababu serikali ya Rwanda haitaki majadiliano ya kujadili suala la wakimbizi na sababu kubwa ikiwaita wakimbizi wote kuwa ni wafuasi wa Intarehamwe na MRND na RDM na ni mabaki ya RDF ambao ni wapinzani wa jadi wa RPF.

Sisi kama raia wa nchi jirani za Congo DRC, Kenya, Tanzania, Burundi na Uganda, tumechoka kukaa na wajukuu na vitukuu vya wakimbizi wa tokea 1993 mpaka leo. Lazima ifikie tamati wakimbizi warudi kwao kwa njia yoyote ile, sababu ni haki yao kurudi nyumbani na hakuna wa kuwazuia au kuwafanyia hisani.

Serikali ya RPF iwe tayari kwa hilo na isiogope kukabiliana tena na kizazi kipya cha RDF sababu unapochukuwa madaraka kwa mtutu wa bunduki usiogope kukabiliana tena na mtutu wa bunduki.
Wakirudi watatosha kweli mbona kama nchi ni ndogo sana
 
Mkuu kwa wanyarwanda kusamehana
Bado sana,,maana kwao ukabila na ubaguzi ni ibada
Nilikua mji mmoja taifa moja kusini mwa Africa
Wanyarwanda kadhaa walipotea katika mazingira ya kutatanisha
Nilipofatilia niliambiwa wamepotezwa kwa hofu ya kuja kulipa kisasi Rwanda kwa tuhuma kuwa wanajipanga kurudi Rwanda
By the way kwanini mnapanga kulipa kisasi na kwanini msikae mezani mjenge nchi yenu
 
Nilikua mji mmoja taifa moja kusini mwa Africa
Wanyarwanda kadhaa walipotea katika mazingira ya kutatanisha
Nilipofatilia niliambiwa wamepotezwa kwa hofu ya kuja kulipa kisasi Rwanda kwa tuhuma kuwa wanajipanga kurudi Rwanda
By the way kwanini mnapanga kulipa kisasi na kwanini msikae mezani mjenge nchi yenu
Mm sio mnyarwanda mkuu ni muandishi wa habari.
Naandika habari za matukio tu.
NB: KUPOTEZANA NI KAZI YA RPF
 
Back
Top Bottom