Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
Mkuu naomba tuwasiliane
Hayatozimikia majini? Au kuwaka moMk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayatozimikia majini? Au kuwaka moMk
Ungeweka makadirio ya bei ukute zinapishana laki 5 tuNi wakati sahihi kwa watumiaji wa injini za boti kwa ajili ya uvuvi, utalii na matumizi binafsi kugeukia injini za kutoka China baada ya miaka mingi kutumia injini zenye brand kubwa kama Yamaha, Suzuki, Mercury, Honda, Envirude, Tohatsu na Torpedo.
China sasa wamekuwa wakitengeneza injini za boti kama Parsun na Calon Grolia.
Sasa kwenye uvuvi kumiliki injini ya boti imekuwa ni jambo kubwa na gharama za ununuaji zipo juu. Tukigeukia injini za China bei ni ya kawaida na zina utumiaji mzuri wa mafuta. Spea zake zipo na bei si ghali sana.
View attachment 1486730
View attachment 1486732
Yamaha za 9.9 na 15HP bei ni 5.4millionUngeweka makadirio ya bei ukute zinapishana laki 5 tu
Mkuuu wambie.Harafu injini ya kichina ina maisha mara nne chini ya urefu wa maisha ya yamaha. Yamaha inagonga miaka 10 kazini mchina miaka miwili tu ina hali mbaya kichizi. Mchina kumwondoa majini yamaha bado sana kwa hali hii niionayo ziwa nyanza