Ni Wakuu wa Wilaya au Mabalozi wa Serikali katika Wilaya

Ni Wakuu wa Wilaya au Mabalozi wa Serikali katika Wilaya

fasiliteta

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
2,372
Reaction score
4,090
Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!

Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza wauza sura,wasanii na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!

Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?

Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazi wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya.

Mama SSH kweli hii ndo vetting mloumiza kichwa kuifanya Zaid ya miezi3 miwili?

Mbona wapo watu wanauwezo mkubwa sanaaa walistahili hizo nafasi?
Au ndo wakajiajiri kuuza jeans na t-shirt online (madalali) waongeze vi elfu3 wapate nao kula?
 
Naendelea kujiuliza hizi course za POLITICAL SCIENCE zinakazi gani kama tunaokoteza okoteza tu viongozi kwa kuangalia umaarufu wao!

Kwann wasibebe wasomi/malecture ama watumishi wa serikali kwa nafasi hizi Zaid ya kuwajaza wauza sura,wasanii na wapiga picha na kushinda instagram muda wote!

Hivi jokate kweli ni wa kupelekwa Temeke!
Kweli Nicki wa pili ndo mkuu wa wilaya?

Vyeo hivi havina hadhi tena labda Sasa tuseme ni mabalazi wa kuitangaza serikali na si wakuu wa wilaya.

Mama SSH kweli hii ndo vetting mloumiza kichwa kuifanya Zaid ya miezi3 miwili?

Mbona wapo watu wanauwezo mkubwa sanaaa walistahili hizo nafasi?
Au ndo wakajiajiri kuuza jeans na t-shirt online (madalali) waongeze vi elfu3 wapate nao kula?
Kwani Magu anasemaje huko motoni.
 
Mama kaamua kuanza kutoa ajira kwa vijana, kupitia nafasi za kisiasa.Sio mbaya Kama watalamba mil 4 kwa mwezi na malupulupu ya kutosha.Nampongeza Sana rais Samia kwa Hilo Sisi wote Ni watanzania, mpunga tugawane wote
 
Mama kaamua kuanza kutoa ajira kwa vijana, kupitia nafasi za kisiasa.Sio mbaya Kama watalamba mil 4 kwa mwezi na malupulupu ya kutosha.Nampongeza Sana rais Samia kwa Hilo Sisi wote Ni watanzania, mpunga tugawane wote
Naona watu maarufu tu na wasanii walokua na shughuli zao.
Vijana walopata ajira umewaona wapi
 
Back
Top Bottom