Ni wanasiasa gani waliochangia dini za wenzao majukwaani?

Ni wanasiasa gani waliochangia dini za wenzao majukwaani?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Katika hotuba yake leo, miongoni mwao mambo aliyoyasema rais ni kuwa kuna watu wametumia mikutano ya kisiasa kuchambua dini za wengine, jambo ambalo lilimkera sana rais.

Je, ni kweli hilo limefanyika na wapi, na nani, lini. Kama sio kweli basi wanasaikolojia wamsaidie na watusaidie. Huenda uzi huu ukafutwa ila swali halitafutika.

Pale juu nilitaka kusema " waliochambua" na sio waliochangia
 
Hilo la dini amelichomeka ili kupata uhalali wa hoja zake. Amejua suala la dini ni sensitive kwa watanzania, hivyo akilichomeka litambeba. Kibaya zaidi hata hayo matusi hayasemi ni yapi. Kwa sasa hivi CCM walipofikia ukweli kwao ni matusi.
 
Katika hotuba yake leo, miongoni mwao mambo aliyoyasema rais ni kuwa kuna watu wametumia mikutano ya kisiasa kuchambua dini za wengine, jambo ambalo lilimkera sana rais. Je ni kweli hilo limefanyika na wapi, na nani, lini. Kama sio kweli basi wanasaikolojia wamsaidie na watusaidie. Huenda uzi huu ukafutwa ila swali halitafutika.

Pale juu nilitaka kusema " waliochambua" na sio waliochangia
CCM ilipoanza kuwatumia waislamu 'kama shehe Mwaipopo' kunyamazisha wakosoaji wa mkataba wa bandari ilitegemea nini!

Matokeo yake ndio hayo
 
Rais bilashaka huwa na mwandika hotuba.
 
Katika hotuba yake leo, miongoni mwao mambo aliyoyasema rais ni kuwa kuna watu wametumia mikutano ya kisiasa kuchambua dini za wengine, jambo ambalo lilimkera sana rais. Je ni kweli hilo limefanyika na wapi, na nani, lini. Kama sio kweli basi wanasaikolojia wamsaidie na watusaidie. Huenda uzi huu ukafutwa ila swali halitafutika.

Pale juu nilitaka kusema " waliochambua" na sio waliochangia

Ni kwamba hujui kweli au ? Tuliahawaambia nyie pinga pinga mbowe alizingua alipoleta mambo ya dini kwenye bandari mpk ikawa inaonekana wanao ukubali ni waislam kisa dp world ni waarabu
Na kila cku uzi wa ubaguzi ikawa humu afu leo unaandika as if uko smart na rais kakurupuka
 
Nafikiri ni zile baadhi ya quote zilizokua zinasema “kwani tulimsema magu kwa sababu ya ukristo wake” “kwani tukimsema mama ni kwa sababu ya uislam wake”

Sasa sijajua kuna udini gani hapo
 
Ni kwamba hujui kweli au ? Tuliahawaambia nyie pinga pinga mbowe alizingua alipoleta mambo ya dini kwenye bandari mpk ikawa inaonekana wanao ukubali ni waislam kisa dp world ni waarabu
Na kila cku uzi wa ubaguzi ikawa humu afu leo unaandika as if uko smart na rais kakurupuka
Inaonekana elimu yako ni ya madarasa tu, sipotezi mda wangu kwako
 
Nafikiri ni zile baadhi ya quote zilizokua zinasema “kwani tulimsema magu kwa sababu ya ukristo wake” “kwani tukimsema mama ni kwa sababu ya uislam wake”

Sasa sijajua kuna udini gani hapo
uwezo wa kuchambua na kuchanganua vitu ni questionable kwa mama abdul
 
Back
Top Bottom