Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Ni wanaume wangapi tunajali usafi?

Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni mwanaume mchafu!
Kama huwezi hata kuwa na perfume zaidi ya tatu ghetto wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya shuka na hata taulo huna wewe ni mchafu!
Kama unatumia mikono kufuta kamasi wewe ni mchafu!
Kama nywele zako huwezi kugharamia hata tsh 30000 kwa mwezi wewe ni mchafu!
Team wachafu njoeni mtoe mapovu[emoji23]

Halafu sasa wamiliki perfume ndiyo hao wachafu kupitiliza, wengi wao huficha harufu ya miili yao. Perfume si kigezo cha usafi, bali kuondoa nywele za kwapa na kuoga zaidi ya mara moja. Kuzuia mwili usinuke haswa makwapani na kwenye makende kutokana na mihangaiko ya kutwa nzima.

Boksa kweli, maana utakuwa unashindia moja kila siku. Hilo ni tatizo pia

Nywele napo kutumia gharama kubwa si kigezo cha usafi

Taulo na shuka sawa,
 
Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni mwanaume mchafu!
Kama huwezi hata kuwa na perfume zaidi ya tatu ghetto wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya shuka na hata taulo huna wewe ni mchafu!
Kama unatumia mikono kufuta kamasi wewe ni mchafu!
Kama nywele zako huwezi kugharamia hata tsh 30000 kwa mwezi wewe ni mchafu!
Team wachafu njoeni mtoe mapovu[emoji23]
Dah! Wanaume wa Dar bwana! Yaani huo umama ndo unahimiza wanaume wote tuwe nao?? So sad
 
Aisee nilikuwaga na x mmoja hivi, kwa Usafi nampa shikamoo. Anatumia sabuni clasic, zile body wash/ liquid soap, kichwani shampoo nzuri zinanukia [emoji16] sio haya ma sabuni ya vipande
Tatizo pesa si kwamba hatutaki hayo makorokoro unayoyasema
 
Mi binafsi naona mwanaume ni bora awe na boxer nyingi,soksi nyingi na vest nyingi plus viatuka sivyo majangaaaa coz wanaume ni wachafu saana kwenye nguo za ndani 80% wanarudiaga nguo za ndani so its better awe na nguo za ndani nyingi
Kurudia ni jadi bwana hatuvuji maji sisi
 
Kuna perfume
Kuna vinukilizi mwili (perfume, body spray, deodorant)
Vinavyopaswa kuwa vitatu ni vipi?
 
Nywele 30,000 kwa mwezi mimi mchafu!!
Kucha je sh ngapi kwa mwezi mtoa mada?
 
Back
Top Bottom