Ni wangapi wanakumbuka jina la huyu dogo?

Dooh
Umekosea mkuu
Jina lake anaitwa Omar Albashiri, kipindi kile alikua anawabeba kuku kichwa chini miguu juu, sasa hivi ni zamu yake yeye kubebwa eti anajidai ahurumiwe.
 
Umekosea mkuu
Jina lake anaitwa Omar Albashiri, kipindi kile alikua anawabeba kuku kichwa chini miguu juu, sasa hivi ni zamu yake yeye kubebwa eti anajidai ahurumiwe.
Ninasikia uchaguzi wake kila mwaka alitangazwa mshindi kwa kunyonga.
 
Hapana alikua hanyongi ila anawaning'iniza kichwa chini miguu juu.
Uncle Rob kule Zimbabwe sikuhizi ana support upinzani, amegundua makosa kwenye serikali aliyoiongoza kwa miaka 30+
 
Umekosea mkuu
Jina lake anaitwa Omar Albashiri, kipindi kile alikua anawabeba kuku kichwa chini miguu juu, sasa hivi ni zamu yake yeye kubebwa eti anajidai ahurumiwe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dollars zake
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] dhaaa mpaka nmemis
Primary school
 
Hahahahaaaaah, bado Yoel Mseven.
Umekosea mkuu
Jina lake anaitwa Omar Albashiri, kipindi kile alikua anawabeba kuku kichwa chini miguu juu, sasa hivi ni zamu yake yeye kubebwa eti anajidai ahurumiwe.
 
Kibanga ampiga mkoroni....hiki nimekikuta hm walikisoma wakubwa zangu ila hii hadithi nikikuwa naipenda sana
 
Jamani Elimu ya kibongo bwana ndo maana mtu anamaliza chuo analialia kuajiliwa. Sasa vitabu tulivyosoma vya adithi zisizokuwa na mashiko za kusadikika tungefundisha vitu halisia vyenye maalifa ya ufugaji, kilimo, technolojia, ufundi, n.k angalau ukimaliza darasa LA saba, form 4, form 6, vyuo, mtu ungekuwa na kitu kichwani cha kukusaidia badala ya kulandalanda kutafuta kazi au kudanga na mengine kama hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…