Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣Huo mjengo chura zinajileta zenyeweeee na hazichomoki hadi uzipige teke ....😜.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Huo mjengo chura zinajileta zenyeweeee na hazichomoki hadi uzipige teke ....😜.
Hili ni bonge la idea!Shukrani mkuuSiku hizi sio lazima ununue kontena, unanunua bati na kuzikunja.
Kukunja bati moja ni 8,000 tu
Wasikutishe, hiyo 3ml ya kununua Kontena moja inanunua material ya kontena 2.Hili ni bonge la idea!Shukrani mkuu
Nyumba ya kuishi maisha ya kila siku na familia, tofali halina mpinzanikati ya hizo za container na za tofali zipi unazikubali?
Got You ntafanya mpango wa containerNyumba ya kuishi maisha ya kila siku na familia, tofali halina mpinzani
Container unaweza kuliweka shambani huko nje ya mji,mara moja moja unakwenda kwa mapumziko,weekend au likizo,inapendeza zaidi
Wenzio wanapanuka akili wewe unapanuka chini?Nenda pale mtaaa wa ufipa utakutana na mafundi kibao wa bei rahisi. Ila usije thubutu kutoa advance kwa dj maana kwenye pesa hanaga rafiki
Hiyo Bei ya hayo makontena na makorokoro yote SI Ni bora TU ujenge ka ghorofa zaidi ya hako ka tofali za block mkuuWakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana.
Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh ngapi?
Hizi nyumba huwa zinanivutia sana hasa kwenye design yake ilivyo,imagine haka hapa kana ghorofa moja pamoja na makorokocho kibao.
View attachment 1861941View attachment 1861942
Sasa mimi nimependa kalivyo kazuri kiasi kwamba nipo tayari kulipia!Hi
Hiyo Bei ya hayo makontena na makorokoro yote SI Ni bora TU ujenge ka ghorofa zaidi ya hako ka tofali za block mkuu
Poa mkuu Tafuta container Kuna jamaa mmoja yupo sido Dom Ni fundi wa hayo makituSasa mimi nimependa kalivyo kazuri kiasi kwamba nipo tayari kulipia!
Habari ya Dodoma mkuu.Poa mkuu Tafuta container Kuna jamaa mmoja yupo sido Dom Ni fundi wa hayo makitu
Ila mi siyo fundi wa kuchomelea mkuuHabari Dodoma mkuu.
Hongera kwa kunusa, kuchangamkia fursa na kuweka tangazo. Uko vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi sio lazima ununue kontena, unanunua bati na kuzikunja.
Kukunja bati moja ni 8,000 tu
Si unaweka zile profile kama kwenye maghorofa ya kisasa mkuu? Container la Mac juice umeliona lilivyo dizainiwa kwa nje???Kutu vipi mzee? Au kuna layers zitafuatia ili chuma kisiguswe na unyevu nyevu? Joto na baridi utaregulate vipi?
We Mzee chadema ilishakuchanganyaWakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana.
Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh ngapi?
Hizi nyumba huwa zinanivutia sana hasa kwenye design yake ilivyo,imagine haka hapa kana ghorofa moja pamoja na makorokocho kibao.
View attachment 1861941View attachment 1861942