Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa nyumba aina hii?

Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa nyumba aina hii?

Nyumba ya kuishi maisha ya kila siku na familia, tofali halina mpinzani

Container unaweza kuliweka shambani huko nje ya mji,mara moja moja unakwenda kwa mapumziko,weekend au likizo,inapendeza zaidi
Got You ntafanya mpango wa container
 
Hi
Wakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana.

Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh ngapi?

Hizi nyumba huwa zinanivutia sana hasa kwenye design yake ilivyo,imagine haka hapa kana ghorofa moja pamoja na makorokocho kibao.

View attachment 1861941View attachment 1861942
Hiyo Bei ya hayo makontena na makorokoro yote SI Ni bora TU ujenge ka ghorofa zaidi ya hako ka tofali za block mkuu
 
Kutu vipi mzee? Au kuna layers zitafuatia ili chuma kisiguswe na unyevu nyevu? Joto na baridi utaregulate vipi?
Si unaweka zile profile kama kwenye maghorofa ya kisasa mkuu? Container la Mac juice umeliona lilivyo dizainiwa kwa nje???
 
Wakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana.

Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh ngapi?

Hizi nyumba huwa zinanivutia sana hasa kwenye design yake ilivyo,imagine haka hapa kana ghorofa moja pamoja na makorokocho kibao.

View attachment 1861941View attachment 1861942
We Mzee chadema ilishakuchanganya
 
Hakuna...
Kwa taratibu za hapa ipo siku utakuta kibanda kimepakiwa na wagambo wa Jiji...
 
Back
Top Bottom