Ndiyo atakuwa sahihi.Hapana hakutoa taarifa baada ya mambo kwenda vibaya ndio anaona ni bora aende nacte akatoe hiyo hoja ili aweze kupewa mtihan upya je atakua sahihi
Shukran mkuuNdiyo atakuwa sahihi.
Taarifa inaweza kutolewa kabla ama baada ya tukio kulingana na mazingira.
Aende akatoe malalamiko yake atapata usaidizi maana kama utaratibu ulikiukwa basi kuna uwezekano wa zoezi zima la mtihani kuwa void hivyo kupelekea kurudiwa upya na wanafunzi wote.
Ok shukran sana mkuuCase yake anashinda mapema sana kwa kipengele hicho tu cha kutosikilizwa.
Lakini kama ulipewa wito rasmi wa kufika mbele ya wahusika kwa ajili ya ukaguzi na ukakosa kufika pasipo kutoa udhuru wowote hilo ni tatizo.
Ok mkuu, ngoja nimwambie afanye hivyo shukran sanaHapo una haki ya kupeleka malalamiko yako kwenye baraza la uongozi wa chuo kulalamika kwamba iweje zoezi la kupunguza alama lifanyike wakati mhusika haupo na wala haukasikilizwa?
Kuna kitu kinaitwa "Audi Alteram Pattern" kwa maana kabla ya kufikia uamuzi wowote lazima pande zote zipewe nafasi ya kusikilizwa.