Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,784
Iko wapi hiyo boss???Mama Kamche''s Executive Lounge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko wapi hiyo boss???Mama Kamche''s Executive Lounge
Right opposite Na Full Gospel Bible Fellowship Mega Church (kwa Right Archbishop Zachary Kakobe). Karibu ufaidi ofa ya 50% OFF kwa mwezi huuIko wapi hiyo boss???
Mama Kamche''s Executive Lounge
Karibu sanaKwa mama kamche hatari sana
Kuna ile ya pilipili [emoji91][emoji91]
Karibu sana
Ndio Mkuu. Karibu sana ukifika ulizia jina maarufu Bwa SheeUpo hapo?
Ndio Mkuu. Karibu sana ukifika ulizia jina maarufu Bwa Shee
Nenda pale nyuma ya BAKWATA. Hutojuta.Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
Mkuu, nami nilikuwa na shida hiyo asante!
Tuhamasishane kumla abubakali kwa sana kwa ajili ya afya zetu.
Utafiti uliofanyika Wachina ni no1 kwa ulaji wa abubakali hawatupi kitu.
Na ndio wanadamu wanaoishi sana hapa ktk sayari yetu.
Pale conner bar mabibo hostel
duh!!...............asanteni sana skills4ever na belindajacob................jamani hayo maeneo ya migombani-savei mmenikumbusha enzi zangu nakamata buku UD................. duh, ukishabarikiwa na mbusi katoliki, mtu mzima unahamia cafe latino pale sam nujoma road au sisimizi pale daraja la ubungo kwa ajili ya kushushia mbuzi wako kwa maji ya dhahabu.................. hapo ilikuwa unakamata ni mpaka majogooo ................ huku ukitumbuizwa na live band za uswazi kila alhamisi (cafe latino) ................... kama boom halijaanza kulaliia kushoto, unaweza kupata escort ya totoz yako moja uliyoiimbisha nyimbo chini ya mdigree................. aaaggh, jamani acheni tu tuzeeke sasa, tumetoka mbali aisee.....................
Cafe Latino naona hakubambi sana siku hizi..halafu pamebadilika kweli pia Sisimizi sababu ya barabara!!..
Karibu siku nyingine migombani-savei mana hapazeeki pale!..jioni kama ya leo ni kufurahia weekend na nyama yetu katoliki!!
Kwa mama kamche hatari sana
Kuna ile ya pilipili [emoji91][emoji91]
Nyamafu... Nyama haramu.
Mboga ya Taifa
Njoo karibu na shule ya msingi Mapambano, nyuma ya Flats za Jeshi, Kuna Offer 50% OFF mwezi huu hamna wateja kabisa. Sijui kwa nn?Hii bar haipo tena. Pole
Njoo karibu na shule ya msingi Mapambano, nyuma ya Flats za Jeshi, Kuna Offer 50% OFF mwezi huu hamna wateja kabisa. Sijui kwa nn?
**Kachumbari na bia 1 (imported) bure.
Heineken et al.What do you mean "imported"