Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Nenda pale nyuma ya BAKWATA. Hutojuta.
 
Mkuu, nami nilikuwa na shida hiyo asante!
Tuhamasishane kumla abubakali kwa sana kwa ajili ya afya zetu.
Utafiti uliofanyika Wachina ni no1 kwa ulaji wa abubakali hawatupi kitu.
Na ndio wanadamu wanaoishi sana hapa ktk sayari yetu.

Uliacha uislamu ukahamia kwenye ukafiri?
Maana naona avatar yako ina maneno ya kiarabu (Quran) halafu unashabikia haramu!!
 

How old are you right now?
 
Cafe Latino naona hakubambi sana siku hizi..halafu pamebadilika kweli pia Sisimizi sababu ya barabara!!..

Karibu siku nyingine migombani-savei mana hapazeeki pale!..jioni kama ya leo ni kufurahia weekend na nyama yetu katoliki!!

Hii bar ya migombani bado ipo!!??
Ni pale opposite na mliman city??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…