Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #21
Jamani maneno gani tena hayo wakati nimeshatanguliza kuwaomba samahani??? Belinda kumbe na wewe mteja wa pale mahali??Astaghfirullah rabbi min kulli!
Astaghfirullah rabbi min kulli!
Makao makuu ya CDM kinondoni mtaa wa Ufipa. Hapo wanagawa bure kabisa.....
Asante sanaNdo matusi gani haya sasaaa............. HEBU NENDA PALE KWA AFANDE KARIBU NA KWA MAMA NGOMA HOSPITAL............ KUNA ROSTI YA KUFA NTU NZIMA NZIMA
Mkuu, nami nilikuwa na shida hiyo asante!
Tuhamasishane kumla abubakali kwa sana kwa ajili ya afya zetu.
Utafiti uliofanyika Wachina ni no1 kwa ulaji wa abubakali hawatupi kitu.
Na ndio wanadamu wanaoishi sana hapa ktk sayari yetu.
Umesomeka pia mkuu, thanksB.Bar funga kazi ukishindwa kwa foleni za wateja sogea JJ-bar (yote ni mitaa ya Sinza )
Jamani maneno gani tena hayo wakati nimeshatanguliza kuwaomba samahani??? Belinda kumbe na wewe mteja wa pale mahali??
Astaghfirullah rabbi min kulli!
dah we nomaaaaaaaaaaa!!!!Nenda banana ukonga pale stendi kwanyuma! Yani kuna baa zaidi ya 400 na kila baa ina jiko la gesi kwaajili ya wakatoliki,usisahau malaya na mashoga wapo wakumwaga!
Tatizo linaloboa kunaombaomba wakutisha yani anaweza kufunulia donda alilona mpaka hamu ya wakatoliki ikaisha kabisa.
<br />weweee, kitu kipo mbezi kwa msuguli kuna jamaa anaitwa bwashee ni nomaaaa, kabla ujakata kona ya kwenda kanisani roma jilani na mama lanya tunakipandiaga gari