Ni wapi naweza kupata nyama safi ya Kitimoto for the weekend hapa Dar

Makao makuu ya CDM kinondoni mtaa wa Ufipa. Hapo wanagawa bure kabisa.....

Mbona hukumwambia aende na pale ccm Lumumba na kila siku wanapikia mle ndani kama lunch yao? Pia ikulu ipo JK anawapa wakatoliki mle ndani. Jana karudi naye mzima toka songea
 
Mkuu, nami nilikuwa na shida hiyo asante!
Tuhamasishane kumla abubakali kwa sana kwa ajili ya afya zetu.
Utafiti uliofanyika Wachina ni no1 kwa ulaji wa abubakali hawatupi kitu.
Na ndio wanadamu wanaoishi sana hapa ktk sayari yetu.
 
Mimi nilifahamu tu kuwa watumiaji ni wengi ila muwaoga wa kuuluzia hii kitu wapi inapatikana, as if mnaenda kununua "mapulizo" pharmacy
Mkuu, nami nilikuwa na shida hiyo asante!
Tuhamasishane kumla abubakali kwa sana kwa ajili ya afya zetu.
Utafiti uliofanyika Wachina ni no1 kwa ulaji wa abubakali hawatupi kitu.
Na ndio wanadamu wanaoishi sana hapa ktk sayari yetu.
 
B.Bar funga kazi ukishindwa kwa foleni za wateja sogea JJ-bar (yote ni mitaa ya Sinza )
 
Jamani maneno gani tena hayo wakati nimeshatanguliza kuwaomba samahani??? Belinda kumbe na wewe mteja wa pale mahali??

Yani pale ndiyo kijiweni jioni baada ya kazi..nashuka na daladala kutoka home chuo..hebu nenda kapate mbusi takatifu pale na kachumbari safii!..yumi yumiii!
 
duh!!...............asanteni sana skills4ever na belindajacob................jamani hayo maeneo ya migombani-savei mmenikumbusha enzi zangu nakamata buku UD................. duh, ukishabarikiwa na mbusi katoliki, mtu mzima unahamia cafe latino pale sam nujoma road au sisimizi pale daraja la ubungo kwa ajili ya kushushia mbuzi wako kwa maji ya dhahabu.................. hapo ilikuwa unakamata ni mpaka majogooo ................ huku ukitumbuizwa na live band za uswazi kila alhamisi (cafe latino) ................... kama boom halijaanza kulaliia kushoto, unaweza kupata escort ya totoz yako moja uliyoiimbisha nyimbo chini ya mdigree................. aaaggh, jamani acheni tu tuzeeke sasa, tumetoka mbali aisee.....................
 
Mnyama a.k.a mbuzi ulaya wa pale B bar ni mtamu balaa!
 
Aiseee nimekuwa intrested na hii thread jamani naomba basi tu Organise ili jumamosi hii tukapate kitu roho inapenda, maana hii kitu ukila peke yako haipandi, chap chap jamani.
1.Manyanza
2.
Endelea
 
weweee, kitu kipo mbezi kwa msuguli kuna jamaa anaitwa bwashee ni nomaaaa, kabla ujakata kona ya kwenda kanisani roma jilani na mama lanya tunakipandiaga gari
 
pale ilala nyuma ya kwa makamba kuna Baba mmoja anatengeneza vizuri haweki mafuta wala mfupa,ni nyama tu.kilo 10,000/-.inakaushwa vizurii.hii sredi yako ningeiona jana ningekuelekeza uje.jana Tanesco walikata umeme lakini kuliluwepo na kili bariiidiii.j2 ntakustua mida ya saa tisa.
 
dah we nomaaaaaaaaaaa!!!!
 
Jamani msisahau pale lilz bar ya sinza na wenyewe ni wazuri kwa hiyo kazi mbuzi katoliki
 
weweee, kitu kipo mbezi kwa msuguli kuna jamaa anaitwa bwashee ni nomaaaa, kabla ujakata kona ya kwenda kanisani roma jilani na mama lanya tunakipandiaga gari
<br />
<br />
Dah!mi naishi mbezi luis nlikuwa natafuta hii kitu..asante sana mkuu,jmos natia timu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…