NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 107
wewe mwenyewe juzi tulikuwa wote kwenye kwene queue halafu saa hizi unakuja na hii maneno ya kitoto namna hii, ulidhani kutumia ID hio ndio hatukufahamu?? Aaaah kumbe umjiunga juzi haya baadae Mpwa, karibu sanaHivi nyie wana jf hamjui kama kula kitimoto ni dhambi? Laaaaa!! yani mpaka mtandao wa jf sasa hivi unanuka kiti moto. Please nauomba uongozi wa jf kwa wale wote wanaotumia hiyo ki2 muwatafutie ukurasa wao mana tukikaa nao karibu wanatupaka shombo.
hahaa wanafiki kinoma, Zanzibar huwa inapatikana Kanisa la Roman Matajiri wanaokaa sehemu za Mbweni na Chukwani huwa wnapelekewa mpaka home...
wanaoongea humu JF ni vinamba tu[/QUOTE
mi nashukuru kuwa wakati wa mwezi ( ....) huwa tunapata kingi tena kwa bei nafuu bila foleni
wewe mwenyewe juzi tulikuwa wote kwenye kwene queue halafu saa hizi unakuja na hii maneno ya kitoto namna hii, ulidhani kutumia ID hio ndio hatukufahamu?? Aaaah kumbe umjiunga juzi haya baadae Mpwa, karibu sana
Nenda pale B Bar Sinza kwa Remmy utaakutana na mtaalamu Cheupe, yn hutoacha kwenda ni tamu balaa!!! kila la kheri na Weekend njema
Hivi nyie wana jf hamjui kama kula kitimoto ni dhambi? Laaaaa!! yani mpaka mtandao wa jf sasa hivi unanuka kiti moto. Please nauomba uongozi wa jf kwa wale wote wanaotumia hiyo ki2 muwatafutie ukurasa wao mana tukikaa nao karibu wanatupaka shombo.
Hajayaona yote hayo yeye ameona magonjwa yaliyopo kwenye kitimoto,ni kituko cha mwaka!!Aaah! Kila tunachokula kinadhuru mwili na afya cheki. Ng'ombe-rift valley, maziwa yasipochemshwa vizuri- T.B, kuku/bata-mafua ya ndege, hata mboga za majani na matunda siku hz zipo zinazopunguza nguvu za kiume. Lakini hatuishi milele sote tutalionja joto la mauti. So tofauti ya anayezikwa akiwa na ugonjwa na anayekufa na viungo vizima ni nini?
Dhambi kwako mkuu!!tusiingiliane imani,kila mtu aendelee na imani yakei!!Hivi nyie wana jf hamjui kama kula kitimoto ni dhambi? Laaaaa!! yani mpaka mtandao wa jf sasa hivi unanuka kiti moto. Please nauomba uongozi wa jf kwa wale wote wanaotumia hiyo ki2 muwatafutie ukurasa wao mana tukikaa nao karibu wanatupaka shombo.
Nenda banana ukonga pale stendi kwanyuma! Yani kuna baa zaidi ya 400 na kila baa ina jiko la gesi kwaajili ya wakatoliki,usisahau malaya na mashoga wapo wakumwaga!
Tatizo linaloboa kunaombaomba wakutisha yani anaweza kufunulia donda alilona mpaka hamu ya wakatoliki ikaisha kabisa.
Mkuu, nami nilikuwa na shida hiyo asante!
Tuhamasishane kumla abubakali kwa sana kwa ajili ya afya zetu.
Utafiti uliofanyika Wachina ni no1 kwa ulaji wa abubakali hawatupi kitu.
Na ndio wanadamu wanaoishi sana hapa ktk sayari yetu.
Astaghfirullah rabbi min kulli!
<br><br><br>hapo juu kwenye <span style="color:#ff0000;">red</span> maana yake nini jamani??<span style="color:#ff0000;">Astaghfirullah rabbi min kulli!</span>
Unafanya kosa lilelile, sidhani kama kuna haja ya kubeza watu hapa. Kama unapenda kula kitimoto basi wewe kula tu kwa raha zako hakuna haja yeyote ya ku-provoke watu wengine. Kama matajiri wa zanzibar huwa wanapelekewa so what?? Au matajiri ndiyo wanaokupangia wewe cha kufanya???!!!hahaa wanafiki kinoma, Zanzibar huwa inapatikana Kanisa la Roman Matajiri wanaokaa sehemu za Mbweni na Chukwani huwa wnapelekewa mpaka home...
wanaoongea humu JF ni vinamba tu
yaani inaonyesha ni jinsi gani unayopenda kitimoto, umesoma heading tu ukakimbilia kuingia kwenye hii thread