Wa Katutura
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 366
- 450
Hili zao linasemekana lina patikana sana katika mikoa ya Tabora haswa Mpanda mpaka Kigoma, ni bei gani kwa Kilo au kwa gunia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arabic gum = ubani.Hili zao linasemekana lina patikana sana katika mikoa ya Tabora haswa Mpanda mpaka Kigoma, ni bei gani kwa Kilo au kwa gunia?
View attachment 3083029
Ndio huohuo dada mkuu ni Ubani kumbe na sio NtaArabic gum = ubani.
Siyo nta.
nta = wax.