Tajiri wa Babeli
Senior Member
- Feb 18, 2014
- 126
- 53
- Thread starter
- #21
😂😂 ndio nimeanza taratibuMfanyabiashara ajae yan hujaanza biashara mkuu Tajiri wa Babeli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 ndio nimeanza taratibuMfanyabiashara ajae yan hujaanza biashara mkuu Tajiri wa Babeli?
😂safi sana biashara ya hela iyo watu anakula mufe hatari,
ukiona mzigo unashushwa halafu pembeni kuna Bunduki ulinzi wa kutosha jua hapo kuna hela.
Sawa nkuucatton moja ina outer au wanaziita Bomba 100. hiyo unayosema ina paketi kumi ni Bomba sio caton. Carton ni box yenye hizo bomba za pakiti kumi kumi mia Moja. Hiyo biashara nimefanya sana mkuu miaka fulani hivi ila naambiwa sasa hivi imepanda inafika kwenye 40M Kwa carton
Mkuu hata hivyo hii hesabu yako haijakaa sawa 40M ukigawa kwa hizo outer 100 ni sawa kila outer 1 ni 400K kwa hiyo pakti 1 yenye sigara 20 itakuwa 40K hii sio sawa.catton moja ina outer au wanaziita Bomba 100. hiyo unayosema ina paketi kumi ni Bomba sio caton. Carton ni box yenye hizo bomba za pakiti kumi kumi mia Moja. Hiyo biashara nimefanya sana mkuu miaka fulani hivi ila naambiwa sasa hivi imepanda inafika kwenye 40M Kwa carton
kweli. 45,000*100.Mkuu hata hivyo hii hesabu yako haijakaa sawa 40M ukigawa kwa hizo outer 100 ni sawa kila outer 1 ni 400K kwa hiyo pakti 1 yenye sigara 20 itakuwa 40K hii sio sawa.